Ndugu zangu Watanzania, Hali ilivyo hivi sasa ni mbaya sana sana!! Huyu Rais wetu na mwenyekiti wa chama changu, haoni haya wala aibu!! Alikuwa wapi asiyatekeleze haya? Karibia kila kitu kimekwama, mambo hayaendi and the guy is never be serious anyway!!
Mimi nadhani hakuna kitu kingine zaidi ya...
Uchambuzi huu, umenitisha sana na haya mambo tumekuwa tukiyapigia kelele kila siku Bungeni na nje ya Bunge! Sisi tunaonekana mafirauni hasa hawa mafisadi!! Hapa hakuna cha Uccm au Ucdm, sote tushikamane kuokoa taifa letu.....Sitaki wala sikubali upuuzi huu!!! Katika suala la uzalendo siangalii...
Wana JF, Aslaam aleikum/Tumsifu Yesu kristu!!
Kwa mara ya kwanza naingia humu mjengoni kwa Great Thinkers, Naombeni mnipokee tushirikiane kwa pamoja, tuelimishana, kutofautiana na kupingana bila kugombana. Hatimaye tujenge Taifa letu kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo!
Nawasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.