Meneja wa Tanroad mkoa wa Ruvuma, mhandisi Mlima Ngaile amefariki asubuhi ya leo baada ya kuanguka ghafla wakati akifanya mazoezi ya kukimbia maarufu kama marathon Songea mjini!
Baada ya kuanguka alikimbizwa hospitali ya mkoa wa Ruvuma na kufariki muda mchache baada ya kufikishwa hospitalini...
Baba mtakatifu Francisco leo tarehe 19.10.2023 amemteua padre Jovitus Fransis Mwijage wa jimbo Katoliki Bukoba kuwa Askofu mpya wa jimbo hilo. Ikumbukwe Askofu wa Bukoba aliyekuwepo, Desiderius Rwoma alistaafu kwa mujibu wa sheria za Kanisa kutokana na umri.
Pia kwa sasa Jimbo Katoliki Bukoba...
Mashabiki wa timu ya Yanga walikuwa wametoka dar kurejea Songea kupitia njia ya Lindi wamepata ajali asubuhi maeneo ya huria wilaya ya Namtumbo !
Dereva kashindwa kukata kona.
Hakuna vifo bali majeruhi kadhaa!chanzo mdau aliekuwepo kwenye gari!
Watu 13 wamepoteza maisha na majeruhi kadhaa baada ya Fuso walilokuwa wanasafiria kutoka mnadani kutumbukia mtoni. Watu hao walitoka kijiji cha Nambendo wilaya ya Namtumbo kurudi Songea walikokwenda kuuza vitu mbalimbali jana siku ya Pasaka! Miili ya marehemu ipo hospitali ya mkoa wa Ruvuma...
Amina Komba mkazi wa mtaa wa Namanditi A Manispaa ya Songea amejiua baada ya kuwanyonga wanawe wawili kwa kile kilichoelezwa kuzidiwa na madeni ya vikoba
Familia ya bwana Peter Komba ambae amepoteza mke na watoto, amesema tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia tar 14/12/22 na mwanamke huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.