[Hivi kuna sheria ya kugawana vitu endapo muungano utavunjika? Naamini Nyerere asingeruhusu itungwe]
hata mume ma mke wakitengana wanagawana walivyo chuma pamoja. iweje sisi tuvunje muungana kisha tubakie na mali tuliochuma pamoja labda kama wa zanzibar watakuwa marehemu
Siku ya kwanza nilipo sikia serikali tatu ndani ya rasimu hii ya katiba, nilijiuliza juu ya uongozi wa serikali hizi tatu, (yaani maraisi watatu makamu wa raisi mawaziri wa kuu nk). Lakini pia nikajipa matumaini labda uongozi hauta kuwa kama nifikiriavyo mimi labda tutakuwa naraisi wa muungano...
Kwanini wanajichosha hawa watu kama wanaitaka nchi yao si waichukue na wapemba waendelee kuwa marafiki zetu hatakama tunatoka nchi mbili tofauti tutawapa uhuru wakuishi tanzania na kufanya biashara na wa tz tuna wapenda sana wazanzibar na hongereni kwa harakati zenu
miaka fulani ya nyuma niliwai soma na mtoto mmoja wa mzee Basha, aliwahi kuwa muwakilishi ndani ya baraza la wawakilishi na pia nimeishi kidogo na familia ya mzee basha na kina muhamed na kaka zake wa port pale, kwahiyo naelewa zanzibari vizuri
uchafu ambao sijauona zanzibar mtaani ni kula...
kwanza nikushukuru kwa nguvu zangu zote mkuu natamani sana tena sanaaa kuwaona wazanzibari wakiondoka tanzania halafu sasa swala la muungano uwe wa aina gani. Ndio tuanze kujadili muungano tafadhalini sana wakuuu wa kafu fanyani fanyeni mambo tubaki na tanganyika yetu plsssssss ondokeni ondokeni
Hili jengo kidogo lifanane na msikiti na karibu nusu ya waalikwa wanaonekana kuvaa brshea kichwani
mtazamo wangu: bado hawa watu wanatumia sana misikiti kutangaza chama wanapandikiza mbegu chafu kwa watanzania.
kama si sisimu mbinu chafu za sisim kudhoofisha upinzani, basi ni mbinu chafu za...
Genge la chenge lililo fanya ujambazi wa kikatili na kupora mabilioni ya fedha
za wananchi masikini na wengi wao wajinga wa Tanzania. sasa linakula fedha
nyingine tena kutoka uingireza kwa dili ileile moja ya RADA (yaani jiwe moja
ndege wawili) ama kweli tanzania imejaaa wapuuzi wa hali ya...
nimepata tetesi kuwa dk W.Slaa hatagombea urais 2015
hili linaniumiza sababu naipenda chadema na namkubali sana Slaa
wa ukweli tafadhali tafadhali tafadhali naomba mwenye kujua ukweli
anitaarifu na allah atamnusuru na mabaya yote kwa mwezi huu wote
kama kila upumbavu utapishwa na mods na kujadiliwa humu sasa naanza kupata sababu za kuachana na jf tafadhali chujeni na makapi yasiingie humuuuuuuu alaa
masters nyingi ni miaka miwili hapo naona miaka mitano inawezekana wamechanganyanya na na hiyoo shahada. tusije kumshikia bango huyu fisadi halafu akapata kichwa kwa kupata pa kutokea
labda mtoa mada angefanya uchunguzi zaid
I am very sorry kwa watu wanaoumia kwa kikwete kuitwa legelege mi nafikiri pia nchi hii imemshinda hajui chakufanya na sasa ana iongoza kwa maelekezo toka kwa wapuuzi fulani fulani. kwa sababu kama huwezi kutoa maamuzi kwenye matatizo nyeti na makubwa ndani ya nchi yako, badala yake unaenda...
Ni rahisi sana kusema mtufulani anatawaliwa na mkewe au mama mkwe au mtufulani ni mmbea lakini ni ngumu sana kusema mimi natawaliwa na mke wangu. ndicho hichi kinacho nifanya nishindwe kuchangia humu ndani kwenye mada zinazo fanana na ile ya kuchoma makanisa na nyingine nyingi za udini...
naungana na mmk 100% kama ni kweli tumeunda kikundi cha kueneza dini na kimeona muungano ni tatizo kubwa lakutupeleka jehanum na mashehe hawajatoa tamko kupinga hili. basi waungane na wenzao wa zanzibar kupinga muungano ili tuwarahisishie wenzetu kuiepuka jehanum. huwezi kuwa sahihi kwa kudhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.