UTANGULIZI.BJandiko hili nalileta kwenu kwa jinsi ninavyojua na kushiriki katika zoezi la kupata nafasi hizi! Bandiko hili linajaribu kuweka mambo sawa ili wadau humu wajue pumba na mchele ni upi!
Hawa wabunge na madiwan wanapatikana na kuteuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi na umewekwa...
Utangulizi
Ni riwaya inayohusu mkoa wa Kilimanjaro Na Tanga kujiunga pamoja Na kujitenga Na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Riwaya hii Ni ya kubuni Na lengo Ni kuburudisha tu wasomaji wa Jamii forum
Inawezekana WAKATI wa kuandika maudhui ya riwaya hii yapo matukio yanayofanana Na...
Wadau
nimetafakar kwa mapana kauli hii ya mapoliccm na nec na kugundua kuwa ndipo tegemeo la mwisho la maccm kucheza michezo yao ya kipuuz! Nimeamua yafuatayo:-
1. Jumapili ni siku ya mapimziko ili kutafakat ulicho gain wiki nzima iliyopita na kuweka mikakati ya wiki inayofuata pia...
Wadau
naomba kujuzwa tu! Nimesikia huko kusin kupitia humu kuwa kuna wagombea kupitia ukawa wametokomea hawakurudisha fomu! Naomba kujua ni wangap? Mpaka sasa. Ma ni majimbo mangap yameolewa baada wagombea kutokomea na wengine wakajaza chap
Salaam wadau wa jf
Nimekuwa nikifuatilia mambo yote niliyojaliwa kuyasikia ya amri na maelekezo ya JK lakini nimejikuta nashangaa mbona hayatoboi mpaka mwisho! Kunani hapa? Kwa uchache:-
1. Ana orodha ya wauza ng'ada (dawa za kulevya) waache mara moja la sivyo watajuta - Hola! ng'ada inauzwa...
Salaam wana jukwaa!
Leo ni siku ya mazishi ya mzee Peter Abdallah Kisumo ambae ni mwasisi na ameshika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwaziri, ukuu wa mikoa na uenyekiti wa mashirika mbalimbali ya umma na mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwao Usangi katika wilaya ya Mwanga katika...
Wanabodi kama tunavyojua Ziara ya katibu Mkuu wa CCM Bw. Kinana inavyopata misukosuko huko Arusha, Hapa Mwanga Mkoani Kilimanjaro wamebadilisha Ratiba kwa kuhofia Aibu inaypweza kutokea.
CCM Mkoa wa Kilimanjaro bado wanaamini kuwa Mwanga ndio ngome imara iliyobaki lakin kwa sasa ngome hiyo...
Salaam wana Jukwaa
Hali ya Kisiasa ya Mbunge wa Mwanga Prof. Jumanne A. Maghembe inazidi kuwa mbaya pamoja na kumleta Magufuli kuja kuzindua Barabara ya Mwanga - Kikweni, wananchi wanasema hachaguliki tena. Wananchi wa Mwanga wameamua kufanya mabadiliko mwaka huu na kwa sasa wanasema jimbo...
Nimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189...
Mbunge wa jimbo la mwanga na Waziri wa maji Prof Jumanne Abdala Maghembe amekutana na adha ya kukataliwa mapema na wananchi kabla hata ya uchaguzi katika ziara zake kampeni zisizo na Baraka za Chama chake.
Adha hiyo alikutana nayo 16/02/2015 katika kitongoji cha Changalavo Kijiji cha...
Wanabodi salaam,
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Kada wa Chama cha mapinduzi mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa wa kilimanjaro tunapoelekea huu mkoa utakushinda au pengine umeshakushinda.
Ni miaka takribani mitano sasa ulitoa amri ya kutokata miti katika eneo lolote la mkoa wa Kilimanjaro...
Salaam wakuu
Leo nimekamilisha safari ya kuzunguka takroban km 2600 za mraba za jumbo LA mwanga. Nilichokuta huko no kuwa wanamwanga wanaomba kwa Mungu ccm imsimamishe maghembe. Wanasema ukawa itashinda kabla ya misa ya kwanza haijaisha name wanaenda kulinda kura Zhao kwa heshima zote. Naomi...
Wadau,
Baada ya kipigo cha mbwa walichokipata CCM kata ya Kirya kutoka kwa CHADEMA baada ya kunyang'anywa vijiji viwili kati ya vitatu vya kata hiyo.
Wamasai wanaoishi eneo hilo la kijiji cha Kirya wameuambia uongozi wa CCM kata ya Kirya kuwa naomba kunukuu " hii chama tumekuwa nayo miaka...
Wadau
hii ni ajabu na mpaka najiuliza ilikuwaje. Kijiji cha kifaru na vitongoji vyake hakikufanya uchaguzi ! Si ccm waliofanya kura za maoni au kujaza fomu kwa uchaguzi kamili na wala si ukawa waliojitokeza kufanya uchaguzi au kura za maoni na hatimae kujaza fomu kwa uchaguzi kamili hivyo...
Wapendwa ndugu zangu wa UKAWA,
Sasa hivi tumefanikiwa kumpa mwenyekiti wa magamba kazi nzito ya kuamua kuhusu vibaka wavaa suti wa ESCROW,kazi ambayo itawachukua muda kuamua ingawa tumeibiwa. Kazi ya kufanya sasa ni kuhakikisha walipa kodi wanaminimize kiwango cha wizi kinachofanywa na hao...
Salaam wadau
hapa mwanga uchaguzi wa sm umekolea. Magamba inapumulia mashine vitongoji vyote vya mjini. Kitpngoji cha kichangare zaidi ya watu mia tano wamejiandikisha wengi wao wakiwa vijan hali ambyo imemtisha mgombea ccm ambapo yy na chama chake wanapanga kuvuruga uchaguzi kitu ambacho...
Wadau just kuuliza tu
hivi fedha za escrow tunaambiwa zimeshatoka BOT na kukabidhiwa kwa wenyewe!
Sawa imeonekana benki ya Mkombozi imekuwa ikizigawa kwa walengwa kama inavyoonyeshwa humu jf!
Sasa hao waliogaiwa wameziweka wapi? Ni NBC,NMB,Mwanga benk,DCB,CRDB,Posta nk au walipewa keshi? Au...
Salaam wana jukwaa,
tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu mwakani 2015. Ni matumain yangu upinzani mwaka huo utafanya vizuri pengine kuliko kipindi chochote cha uchaguzi tangu tuingie mfumo wa vyama vingi kwan watanzania wa leo ni tofauti na miaka iliyopita na wamejanjaruka na hawaburuzwi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.