Mkuu katiba imeeleza wazi pindi rais anapotoka madarakani nje ya uchaguzi mkuu, so mtu kuliona na hili la cdf ni spesho kiasi hicho basi ni ujinga wake wa kutopenda kusoma katiba na kujifunza mambo mbalimbali ya uraiq mara kwa mara
Duu mbona kama kuna Roma mwingine hapa?? Ngoja niende Xia kwanza nikaona rudi aliokolewa then nitateleport huku kwa hamza! Hope wale washamba washamba wa hongomeni hawapo hapa
Labda alikuwa Copenhagen huko akicheza mbina! Maana Copenhagen ina mahusiano ya kibalozi na gwambina wa kisukuma! Hapa Copenhagen wasukuma wapo wengi sana ni wacheza ngoma za kisukuma(mbina)
Bahati nzuri na mimi nipo hapa kekexil kuchukua vidonge vya kupambana na waasherati ! Ngoja tusubiri toka atoke huku nikuulize live kuhusu singanojr kututesa hivi🥺🥺🥺
Kisesa ipi labda hii inayoanzia Kanyama hadi kufikia isangijo kona ya kayenze au kisesa b ile inayotokea bugomba hadi kahangala? Hakuna sehemu yenye bodaboda wapuuzi kama hizi! Li mtu unakuta limetoka kayenye lina mshikaki wa abiria 4 kinapita mbele ya polisi hadi jiwe la mkapa!
Nawalaani kwa nguvu zote waliohalalisha pikipiki kubeba abiria, nawalaani askari wa usalama barabarani kwa kutofuatilia na kuangalia mwenendo wa bodaboda hapa nchni, nawalaani wanasiasa wote hasa wa ccm kuwatumia bodaboda kisiasa. Majanga wanaosababisha bodaboda na hayaripotiwi Au kuupuuziwa na...
Hata mimi naunga mkono hoja Makonda apuuzwe na kila mtu hapa duniani! Mtu gani mwongo mwongo,mnafiki nafiki, maandiko m zandiki,mshirikina mshirikina,tapeli tapeli nk nk. Wewe mtoa mada kuna uwezekano ndio unamuogesha dawa huyo Makonda pale kanyerere ya pili kwenye uwanja wa wacheza mbina za kichawi
Kaka jioni ni Sasa au kaka ulikosea spelling badala ya kuandika " baadae usiku" ukajikuta umeandika baadae jioni?? Samahani nomeuliza tu usini mind bana jioni imeshapita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.