Rais mteule Donald Trump ambaye anaingia ofisini January 20,2017, amemwaga ajira 8,000 kwa wamarekani hasa walio nje ya Taifa hilo ili warejee kwenye Taifa hilo ambalo yeye anasema "limeshakuwa na mabadiliko makubwa".
Takribani ajira 5,000 ni za wataalam wa mawasiliano.
Source: Foxy News
Wachaga wana matumizi makubwa sana,lakini wameendelea sana!
Ukilinganisha na makabila mengine, wachaga wanakula sana bata! Wana matumizi makubwa sana karibu kila siku.
Cha ajabu, walianza kuendelea wao, walianza kusoma sana wao, walianza kuwa na miundombinu mizuri wao, wanywaji wao...
Hodi humu ndani!
Kifo ni LAZIMA, kifo ni safari ya kwenda mbinguni, kifo ni mapenzi ya Mungu.
Naongea haya kwa uchungu sana.
Nimezunguka na kuishi maeneo mengi nchin Tanzania, swala la vifo (vya kasi) kwa wenzetu Wachaga,ni kubwa sana. Siongei kwa ushabiki au napenda iwe hivyo,la hashaa!
Kwa...
Jee...!!! unajua lengo hasa la Kulala..? Hasa wakati wa Usiku..!!! Lengo la kulala ni kukumbushwa Kifo unapoweka Ubavu wako Kitandani ukumbuke siku utayolala katika Kaburi lako,
Unapofunga Mlango ukumbuke Ubao utaowekwa juu yako,
Unapozima taa ukumbuke Giza la Kaburini, na unapojifunika Shuka...
NI MWAKA SASA, USINGIZI HUJA KUANZIA SAA 8 USIKU NA UNAKATA SAA 11 ALFAJIRI.
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza.
Ni miezi isiyopungua kumi na tatu (13) sasa,hata niwe nimechoka vipi, hata niwahi kulala vipi , usingizi wangu huanza kuja kuanzia saa nane (8) usiku na hukatika saa 11...
Ndugu zangu, kilimo ndiyo uti wa mgongo wa waTanzania na inakadiriwa, 80 % ya waTanzania wote wanategemea kilimo,na kwa kiasi kikubwa ni wale wa vijijini!
Kwa miaka nenda rudi, kilimo chetu hapa nchini kimekuwa kikitegemea mvua, licha ya kuathiriwa na tabia ya nchi inayotokana na tabia za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.