Ndiyo Wana Jf ! Mchana huu mbunge wa jimbo la Ukerewe- cdm, kamanda Machemuli leo atakuwa anazindua kampeini za uchaguzi wa udiwani kata Tungi -Morogoro mjini. Uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Mbuyuni. Mgombea wa udiwani ni Juma Tembo kipenzi cha Wana Tungi ...
Habari Wanabodi !
Katika mwendelezo ule ule wa kuomba huruma kwa wanachama,wapenzi na washabiki wa chadema, ZZK kupitia Misukule wake ambao kimsingi ni wapiga dili na wachumia tumbo amekataliwa ombi lake la kukutana na wanafunzi wa chuo kikuu cha SAUT-MWANZA. Ikumbukwe kuwa baada ya uamzi wa...
Ndiyo Wakuu !
Nianze kwa nukuu " ELIMU YA CHUO KIKUU NI CHEMICHEMI YA MAWAZO CHANYA AMBAYO MSINGI WAKE SI UTUMWA.
UTUMWA WA MAWAZO NI KUPACHIKWA MAWAZO YA WATU WENGINE ,NAWE BILA KUYAPIMA UNAYAPIGANIA BILA KUJALI KUWA UNAWEZA KUATHIRI HADHI YAKO NA HATA HADHI AU TASWIRA YA CHUO ULICHOSOMA...
Ndiyo Wakuu , heshima kwenu ! Awali ya yote naomba ni anze na nukuu ya Mwl Nyerere Meimosi,1995 akiwa mjini Mbeya "MTU YEYOTE MWENYE AKILI,AKIKUPA MAWAZO YA KIPUMBAVU NA ANAJUA KUWA UNA AKILI NA UKAYAKUBALI ANAKUDHARAU. SASA HATUWEZI TUKAKUBALI MAMBO YA KIPUMBAVU TANZANIA."
Akiongea kupitia...
Ndiyo wakuu, heshima kwenu !
Awali ya yote, nitaanza na nukuu toka kwa Mwl Nyerere Octoba 22,1987 wakati alipokuwa akihutubia mkutano mkuu wa CCM alisema " LAKINI CHAMA CHETU (CCM) HAKITAWEZA KUISAIDIA SERIKALI YETU KUTIMIZA WAJIBU WAKE NA KULINDA AMANI , UTULIVU NA...
Ndiyo wakuu !
Kwa taarifa zilizo nifikia muda huu toka kwa Katibu wa cdm wilayani geita, ambaye ni mbunge kivuli jimbo la geita , kamanda Rogers Mwana wa Ruhega ni kuwa yuko polisi geita muda huu akihojiwa ofsi ya upelelezi akihusishwa na kosa la uchochezi baad ya kutoa tamko kali la...
Ndiyo Wakuu , heshima kwenu ! Awali ya yote naomba nianze na nukuu ifuatayo :- " TAIFA LETU,TAIFA LOLOTE NI ZURI NA MAHALI PAZURI PA KUISHI KAMA RAIA WAKE WATALIFANYA LIWE HIVYO .UONGOZI WAKE UNAWEZA KUWA MZURI,MBAYA AU USIOJALI LAKINI KAMA WATU WAKE WAMEAMKA KIELIMU NA WANAJITAMBUA...
Ndiyo Wanabodi .
Kamanda Mawazo leo anatarajia kuongoza kikosi kazi cha M4C Kanda ya Ziwa Magharibi katika uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya Nyampulukano wilayani Sengerema . Ikumbukwe kuwa diwani wa kata hii ndgu Tabasamu alijivua gamba na kujiunga na jeshi la ukombozi cdm...
Ndiyo Wanabodi ! Kamanda Lisu ameongozana na Makamanda Hamedi na wenzake leo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa diwani kata ya Iseke ,jimboni Singida Magharibi . Katika kuelekea kutimia kwa kauli ya Mjinga akijitambua,mwelevu yuko matatani mwenyekiti wa kijiji cha Msambu...
Ndiyo wakuu .
Heshima kwenu ! Kwa taarifa nilizo zipata hivi punde toka kwa Kamanda Mawazo ni kuwa muda huu anafanya mukutano pamaoja na Makamanda wengine toka Mwanza ,Shinyanga , Musoma na Geita kijijini Chikobe katika kata ya Nyachiluluma ,jimbo la Busanda- Geita ambako ndo...
Ndiyo wanabodi. Heshima kwenu !
Kesho ndo tarehe ya kusomwa kwa kesi ya Madiwani waliofukuzwa CHADEMA Mwanza. Madiwani hao ambao wapo kwenye nafasi kwa amri ya mahakama ni Ndgu Adam Chagulani kata ya Igoma na Henry Matata kata ya Kitangiri.
Ikukumbukwe pia kuwa hukumu ya kwanza...
Ndiyo wanabodi . Katika kuendeleza vuguvugu la mabadiliko ( M4C ), jioni hii Makamanda toka wilayani geita chini ya Kamanda Rogerz Mwana wa Luhega, mbunge kivuli jimbo la geita watapiga bonge ya amsha amsha hapa Nkome centre. Wakati hawa Makamanda wanafika hapa Nkome wameweza...
Ndiyo Wakuu , Heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa Mawazo ni kuwa kutokana na kuwepo kwa hamasa kubwa toka kwa wakazi wengi wa kanda hii kumekuwepo na upungufu mkubwa wa kadi za mwaliko kwa ajili ya hafla ya fund rising ili kuwawezesha makamanda kufika vijijini...
Ndiyo Wakuu , heshima kwenu. Nina siku nyingi sana bila kupost habari mpya humu jamvini kwasababu ya majukumu ya kulijenga taifa langu la wadanganyika.
Baada ya utangulizi huo ni kuwa Kamanda Mawazo anategemea kuzindua misingi zaidi ya 200 jimboni Busanda. Katika kufanikisha zoezi hilo...
Ndiyo Wakuu . Heshima kwenu ! Ile kauli ya "mjinga akijitambu,mwelevu yupo matatani " imeendele kui umiza ccm. Kufuatia mikutano ya M4C inayo endelea mkoani Kagera chini ya Kamanda Mawazo na timu yake katika Wilaya ya Muleba na Bukoba mjini ki ukweli ccm ipo katika wakati mgumu. Kwa taarifa ni...
Ndiyo Wakuu,
Heshima kwenu!
Kamanda Mawazo na Pamba wanashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Magu baada ya kutofautiana kauli na OCD-MAGU. Ikumbukwe kuwa jana ndo ilikuwa mwisho wa kampeini za uchaguzi wa serikali za vijiji 6 na vitongoji 20 wilayani Magu na leo ndo siku ya uchaguzi...
Ndiyo Wakuu !
Vuguvugu la mabadiliko (M4C) linalo endelea kanda ya ziwa chini ya kamanda Mawazo lime endelea kuitesa CCM. Ikumbukwe kuwa wiki mbili zilizo pita CHADEMA ilipata ushindi mnono wa serikali za vijiji na vitongoji dhidi ya CCM wilayani Muleba. Siku 4 zilizopita timu hii ya M4C...
Ndiyo Wadau, Heshima kwenu !
Katika kutimiza na kutekeleza kauli mbiu ya mwaka huu maarafu kwa MWAKA WA NGUVU YA UMMA , leo M4C -Mwanza chini ya Kamanda Mawazo itazindua kampeini za uchaguzi wa serikali za vijiji 6 na vitongoji 20 Wilayani Magu unao tarajiwa kufanyika tarehe 17/2/2013...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.