ssm wote ni wezi, karibu asilimia 90 ya nec ya ssm. Wanatumia pesa za wizi wa nyara za serikari kuwahonga watanzania maskini na wapenda mteremko wasio na elimu ya uraia.
kisasi sio chetu bali ni cha mungu, kazi yetu wakristo ni kuwasamehe.
Hata yesu baada ya mateso makali pale msalabani, mwishowe kabla ya kukata roho alisema, "baba uwasemehe kwa maana hawajui walitendalo".
Sasa hivi mtandao wa urais ndani ya CCM ni zaidi ya Alqaida, kwani karibu mafisadi wengi ni wenyeviti wa CCM wilaya/mikoa mf. Mudavida a.k.a ARV project
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.