Search results

  1. hassan yahaya

    SoC03 Watanzania tuache kupotoshana kuhusu Serikali yetu

    Kupotosha ni kitendo cha mtu kutoa taarifa au kuzungumza kitu katika hali isiyo sahihi na kupelekea wanaomsikiliza kukosa uhalisia wa jambo. Leo hii nchini Tanzania kumezuka tabia hii ya upotoshaji katika mambo mbalimbali ikiwemo mambo ya utawala wa serikali. Kutokana na kuwepo kwa upinzani...
  2. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    Habari ndugu msomaji, Leo nimekuletea makala hii lengo ni kutoa ufafanuzi juu na taharuki kubwa kwa wanaume juu ya hofu ya kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo yasiyokizi haja ya kimapenzi ya mwanamke. Hili ni jambo ambalo linawaumiza wanaume wengi kila kukicha, wanaume...
  3. hassan yahaya

    SoC03 Wahitimu wa shahada ya sheria na shule kuu ya sheria Tanzania

    Kuna kauli imezoeleka sana ya "jicho la tatu". Kuangalia au kufikiria jambo kwa jicho la tatu ndio jambo nalotaka kulifikisha mahala husika. Kauli hii inamaana ya kufikiria jambo kwa undani na umakini mkubwa na kuangalia athari zake na hasara zake. Mada yangu inalenga sekta ya elimu hususani...
  4. hassan yahaya

    SoC03 Mapenzi katika kazi yanavyochochea uzembe na kutowajibika

    Ndugu wasomaji, ni wazi kwamba mapenzi mahala pake ni moyoni, na upendo wa kweli haufichiki, mtu akipenda ni ngumu sana kujizuia kutoa upendeleo kwa ampendae. Ukiambiwa tu "nakupenda" mwili wote unasisimka. Mapenzi hujengwa kwa misingi imara sana ambayo ni ngumu sana kuilegeza, leo hi mapenzi...
  5. hassan yahaya

    SoC03 Matumizi ya mitandao ya kijamii na watoto wetu

    Ndugu msomaji Napenda kukuletea makala hii unayohusu matumizi ya mitandao ya kijamii na matokeo kwa watoto wetu. Kwa miaka ya hivi karibuni nchini kwetu Tanzania matumizi ya mitandao ya kijamii yameongezeka kwa kasi sana ukilinganisha na miaka ya kabla ya mwaka 2000. Watu wengi sasa wanatumia...
  6. hassan yahaya

    Tuzungumze mapenzi

    Mwandishi: Hassan yahaya ( B.Sc ) Contact: hassanmatola508@gmail.com habari ndugu zangu, awali ya yote napenda nitoe maana ya mapenzi. Mapenzi ni ukaribu unajijenga baina wa watu, wanyama, mtu na kundi la watu, kiumbe kimoja na kingine au kiumbe na kitu au hali fulani ambayo hufanya vitu hivyo...
  7. hassan yahaya

    SoC03 Kaliwene Mwanangu wewe sio Jalala

    Kaliwene mwanangu jalala ni sehemu ambapo watu hutupa takataka kutoka sehemu mbalimbali baada ya kutumia kilicho kisafi. Kaliwene mwanangu wewe ni wakwetu sio wakwao hivyo nakuhusia mwanangu fata haya yakwetu yakwao waachie wao. Mwanangu nakupenda sana nataka nikutume kule ila kabla sijakutuma...
  8. hassan yahaya

    Wanafunzi masikini tusijisahau vyuoni na kuishi kitajiri

    Hii ni kwaajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wametoka katika familia duni. Umezuka mtindo kwamba wanafunzi wengi waliotoka familia zenye hali duni na kwenda vyuo vikuu kubadilika na kujisahaulisha hali halisi ya nyumbani kwao. Umetoka nyumbani hali ni dhaifu mnaishi nyumba ya nyasi, mama...
  9. hassan yahaya

    Vijana tubadilike matumizi mabaya ya mtandao

    Kadri siku zinvyokwenda matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii yanaongezeka. Sasa imefikia hatua vijana hawana haibu kutuma picha zao za utupu na wengine kuangalia. Maadili ya jamii zetu yanaharibiwa, watoto wetu wanaharibiwa imefikia hatua sasa vijana wadogo wanawatongoza mama zao na hao...
Back
Top Bottom