Search results

  1. hassan yahaya

    Wanafunzi masikini tusijisahau vyuoni na kuishi kitajiri

    laa..! si hivyo ila wasiishi kistaa mfano kwenda club au viwanja vya starehe kutumia matumiz makubwa mfano unamkuta mtu anatumia cm ya laki saba au milion moja hali ya kuwa kwao hali ni dhoofu sana japo kuwa vitu vya bai ya kawaida na vinafaa vipo bali ananunua kwasababu ya show off
  2. hassan yahaya

    SoC03 Watanzania tuache kupotoshana kuhusu Serikali yetu

    Kupotosha ni kitendo cha mtu kutoa taarifa au kuzungumza kitu katika hali isiyo sahihi na kupelekea wanaomsikiliza kukosa uhalisia wa jambo. Leo hii nchini Tanzania kumezuka tabia hii ya upotoshaji katika mambo mbalimbali ikiwemo mambo ya utawala wa serikali. Kutokana na kuwepo kwa upinzani...
  3. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    wanaume tunawaza jinsi ya kuwalizisha wake zetu tunawaza na kutafuta pesa na mambo mengine ndomana tunakufa mapema
  4. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    hii ni hatar alaf anataka na yule wa mwisho kufanya nae amridhishe
  5. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    nimeaanisha kiwango cha juu cha ukubwa wa maumbile
  6. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    wanaume wenzangu njoeni tujadili hili suala hata wanawake pia mnaruhusiwa maana haya mambo yanaoneka wanawake ndio wanaonekana hawaridhishwi kwahiyo njoen tujadili tuwekane sawa kila mmoja afahamu
  7. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    ni changamoto kubwa sana na elimu inatakiwa itolewe kama itawezekana kuwe na vipindi maalumu kupitia channel za televisheni ili jamii ipate kujua ukweli wa haya mambo
  8. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    ukubwa ule wa asili hauna tatizo ila tatizo lipo kwa wanaoongeza ukubwa kwa kutumia madawa na mbinu zingine kwani husababisha madhara, lakini pia kwa asili maumbile hayawezi kuathiri na hayawezi kuzidi ule kubwa wa juu
  9. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    kila kukicha wanaume tunawaza nguvu za kiume tu
  10. hassan yahaya

    SoC03 Mapenzi katika kazi yanavyochochea uzembe na kutowajibika

    unabeba pis af unakwamisha kazi tutafika tumechoka sana
  11. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    tubadilike wanaume na tujiamini tusibabaishwe mwishowe tukaja kujiharibu wenyewe
  12. hassan yahaya

    SoC03 Wanaume taharuki suala la nguvu za kiume na maumbile madogo

    Habari ndugu msomaji, Leo nimekuletea makala hii lengo ni kutoa ufafanuzi juu na taharuki kubwa kwa wanaume juu ya hofu ya kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo yasiyokizi haja ya kimapenzi ya mwanamke. Hili ni jambo ambalo linawaumiza wanaume wengi kila kukicha, wanaume...
  13. hassan yahaya

    SoC03 Wahitimu wa shahada ya sheria na shule kuu ya sheria Tanzania

    serikali inatakiwa ifanye kitu kwa hawa wahitimu
  14. hassan yahaya

    SoC03 Wahitimu wa shahada ya sheria na shule kuu ya sheria Tanzania

    Kuna kauli imezoeleka sana ya "jicho la tatu". Kuangalia au kufikiria jambo kwa jicho la tatu ndio jambo nalotaka kulifikisha mahala husika. Kauli hii inamaana ya kufikiria jambo kwa undani na umakini mkubwa na kuangalia athari zake na hasara zake. Mada yangu inalenga sekta ya elimu hususani...
  15. hassan yahaya

    SoC03 Mapenzi katika kazi yanavyochochea uzembe na kutowajibika

    ila ni vyema kuchunga mazingira ya kazi kama mapenzi yawe nje ya kazi
Back
Top Bottom