Kwamba? Unajua suala la dini ni vile ulivyoaminishwa wewe. Wala hilo kwake halimsumbui regardless ashamezeshwa kama vile wewe na mimi tulivyomezeshwa na kukaririshwa. It's all about religions.
Kwahiyo ofisi ya Chadema ndo italeta maji na umeme we chawa promax? CCM wana ofisi mpaka nyumbani kwa mabalozi. Niambie zinaleta maji na umeme. Ndugu yangu kama huna kitu cha kuandika is better ukae kimya kuficha ujinga wako. Watu wanaongelea mambo muhimu ya umeme na maji wewe unaongelea ofisi...
Hongera ila mwanangu achana na wanawake waliozalishwa na wanaume wengine. Weka akilini kuwa, ukiona mwanamke mwenye mtoto jua kuna mwanaume alimlalia kisawasawa akamzalisha. Huyo/hao ndo waume zake.
Basi temana naye. Mwache kama mwezi kusikilizia. Kuna mawili hapo; atabadilika au atamleta mtoto. Asipofanya hivyo we jilipue serikalini wakupe kiwango cha matumizi kwa mwezi na uwaambie mtoto akifikisha miaka Mitatu unamchukua kwa hati ya serikali. Atakuua huyo.
Mkuu na wewe ni nouma. Yaani unataka kuoa single mother mwenye watoto wawili + wakwako?
Halafu kitu kingine jifunze ukauzu, ni bora amlete huyo mtoto ukae naye maana huyo ni kibaka mzoefu. Otherwise utakufa mbwa wewe. Halafu oa uache umalaya.
Kwahiyo hiyo picha itaongeza thamani ya shilingi kwa dola? Itapunguza bei ya sukari? Itaondoa mgao wa umeme? Yaani hili bunge kama hawa ndo wabunge basi lifutwe tu serikali iamue kila kitu. Ila hii tabia ya kujipendekeza itaua hii nchi
Mtavurugwa kinoma. Ila wala hajakuacha bali anakutishia. Ila kama ana-gut ya kukutukana hivyo we mshukuru Mungu tu maana hicho kikombe hukiwezi. Ila broo na wewe acha zongwa, wengine wamehonga gari, we mafuta tu yanakushinda?
Acha kuchongea wenzako. Au umetumwa na TRA nini? Kwanza kodi kwa Serikali gani hii? Ili wanunue nyumba za bilioni 16 Dubai? Bora waendelee kukopa tu hao.
Sasa kama unabisha kuhusu huo mpango, ilikuwaje mkimbizi uliyemkaribisha under your control aka-overturn na kuwa boss wa nchi yako? Una uhakika kwanye hili umeshirikisha akili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.