Hiyo ipo hasa kwa watu wenye umri mkubwa ni mambo ya dawa za asili mara nyingi anachukuliwa mgonjwa husika anawekwa ndani alafu sehem ya paa inatobolewa kidogo anapigwa na ule mwaga wa jua akiwa ndani hapo ndio anakata roho vingnevyo ataoza na harufu juu
Hilo la kuanguka chooni au kupooza mara nyingi ni process tu za kuoga unapaswa maji ya kwanza uanzie miguuni na siyo kichwani kama wengi wanavyofanya na hii inatokana na sababu za kimwili zaidi
1.
Tumia asali ya nyuki wadogo kumpakaa kutwa mara 2 hii ilimponya mwanangu.
2. kuna sabuni inaitwa potassium permanganate
Unakuwa unamwogesha nayo kwenye pharmacy nyingi inapatikana hii
Kila la kher mkuu
Magu aliwah kusema alibip urais akasukumizwa lkn akawa rais hivyo jitose tu mkuu mambo ni mbele kwa mbele huenda kupitia huko ukapata tena inshu kubwa zaidi
Wachawi siku zote wanafurah mtu akiharibikiwa sasa wewe kama CDM wanaharibikiwa si ndio furaha yako maelezo mengi ya nini mkuu au we bado hujapanda cheo
Ndio maana huwa nashangaa unapita mahala butcher ilipo na unaona katundika utumbo nje lakn hamna inzi hata mmoja anaeonekana kutua pale tena syo mara moja tofauti na zamani kidogo hali haikuwa hivyo
Hao M23 kimtindo wanachekesha sasa ushaambiwa vita ni vita mura unamchagulia vipi Adui siraha ya kukupiga nayo ilihal mtu kaacha familia na Nchi yake kwa kazi maalumu ikamilike arudi chapu au walizoea vita ya kubembelezana toka miaka dahali ili waendelee kuiba madini ya banacongo
Wanautu sana kulko maelezo na ni majasiri mno ni ngumu sana hawa jamaa kukuacha njiani hata iwe usiku pamoja na kuwalipa lkn wanasaidia sana watu njiani kumbeba mtu tu njian hata kama anakulipa lkn humjui hakujui yataka moyo hasa usiku tena siku hawa jamaa wakiacha kuwa wastaarabu basi ajali...
Mwenyezi Mungu fundi mkuu yule anajua kuliko we hujiulzi mwembe mti mkubwa vile kkn ukapewa matunda madogo lkn tikitki maji na kutambaa kwake ukapewa matunda makubwa sasa fikiria mwembe ndio ungepewa matunda saizi ya tikitimaji alafu uwe unapita likudondokee kichwani ingekuwaje mkuu TUMCHE MUNGU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.