1:Salim Ahmed Salim (born 23 January 1942, Zanzibar, present-day Tanzania) a Tanzanian diplomat who has worked in the international diplomatic arena since the early 1960s. Salim is married to Amne and they have three children: Maryam, Ali and Ahmed.
2:Edward Ngoyai Lowassa (born 1953) is a...
MWENYEKITI wa klabu ya Simba, Alhaj Ismail Aden Rage amerejea jana jioni mjini Dar es Salaam akitokea India alikokuwa akitibiwa na kuzusha tafrani Uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam.
Kuna makundi mawili ya wanachama wa Simba SC, yaliyofika uwanjani hapo kumpokea kiongozi...
hawa vijana Ben na genge lake wanalipwa kushinda humu,nasikia Ben ndio karithi mikoba ya Ludo kwenye kitengo cha kushinda mitandaoni,akipewa chips yai na fanta baridi hatoki kwenye laptop,jioni ankirudi nyumbani anamwambia mkewe alikua kazini,thats sucks meeeein!
Okey,sawa..haya tueleze kwanini Dr.Slaa leo anamkana Ludo?wewe binafsi unamwamini Dr.slaa kwenye kama anasema kweli hamjui Ludo????nahitajika ufafanuzi zaidi toka kwenu mavolunteer watiifu wa chadema
Ni vita kati ya slaa na zitto,Ben anatumika tu kama condom baada ya matumizi yake kwisha atatupwa jalalani kama zitto alivyokua akimtumia kabla ya ben kunyea kambi!
Namba moja hata mtoto wa darasa la kwanza anajua ni kweli labda wewe great thinker tu ndio unjifanya hujui!jambo hilo liko wazi na huyo mama bado kamng'ang'ania tu
ushabiki wa kijinga@work
Hivi kwanini toka sakata hili la kuwalwakatare wabaya wa chadema Ben amekua halali anaweweseka kujaribu kufanya cover up na kuhamisha story,kila siku anakuja na thread mpya,hivi anafanya kazi gani huyu kijana au ndio amerithi mikoba ya Ludo kwenye kitengo cha kupambana kwenye mitandao ya...
Lowassa angekua Basha huyu msomali Bashe naona angekua ameharibika sana aisee,manake anvyohangaika na Lowassa utadhani walizaliwa tumbo moja!gazeti kila siku the same stories its gonna be boring brother u better change the starategies
Hivi hawa vijana,huyu ludo,ben sanane na wengine wasomi kwanini hawataki kufanya kazi walizosomea badala yake wote wanajazana chadema makao makuu kama volunteer na kuishia kulamba miguu ya viongozi.that's sucks!
ni maneno ya kujifariji,mpango mzima ni aliyoyasema kimaandishi mleta thread,kwanini leo slaa na genge lake wanamkana kijana wao mtiifu ambae wamekua wakimtumia for years kuwekea watu sumu???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.