Pasco
Mbona taarifa nyingine zinasema Mjeshi M alikuwa implicated kwa sababu Ndugu yake Luteni Maganga alihusika na jaribio, wakapata hisia naye pengine anahusika
Kuna Daktari mmoja aliniambia alihusika kwenye utafiti flani mkoa wa Pwani. Akasema waligundua Kuna idadi kubwa ya Watu matatizo ya presha. Hii inatokana na kula vyakula vya nazi kwa wingi.
Umenifurahisha hapo,Kwamba kila kitengo kinatakiwa kuwa na mtaalam husika, ila wao Wana upungufu. Ole wako private hospital ikose hata mtaalam mmoja, inakuwa balaa.
Ndiyo maana ni nadra sana Mfanyabishara kuamua kuwa na Hospitali.
Mimi nilikutana na Captain Kadego Kibo complex. Naye alinipa story nzuri sana ya mapinduzi. Ila waliohusika ikiwemo yeye walikuwa 'vichwa sana'.
Story ilikuwa nzuri sana japo alikatiza. Nafikiri aina ya udadisi akadhani mimi mtu wa kitengo
Hivi hili la mfumo wa namba kwenye mitihani lilianza wakati gani? Nakumbuka Kaka yangu alitumia mfumo huu Mwaka 1982 ila hapa Mzee Said anasema uliasisiwa na Kighoma Malima!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.