Ninasikitika kwamba hiyo taarifa siyo ya wazungu,ninatamani mataifa ya magharibi yangedeclare kutompenda Lowasa ili furaha yangu ya kumchagua iongezeke!!!!!Sitamani kuwa na rais atakayetunukiwa Phd kwa gharama ya gas yetu.
Lengo la mageuzi siyo kugawana wizara wala wilaya!!Serikali ya UKAWA itapunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na kufuta cheo cha mkuu wa wilaya.Tabia ya kugawana vyeo badala ya majukumu ndiyo iliyolifikisha taifa hapa lilipo.
Tuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wetu wa haki kama taifa!!Ni kweli kuwa kiongozi wetu akituhumiwa anapaswa kukaa pembeni kama alivyofanya Lowasa,ingawa Magufuli hakufanya hivyo.Anakaa pembeni ili kutoa nafasi ya kuthibitishwa au kukanushwa kwa tuhuma hisika baada ya uchunguzi.Sasa bwana...
Nilipata bahati ya kuwa katika kijiji cha HAYDOM,wilaya ya MBULU wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa nipo TARIME VIJIJINI kwa kwa zaidi ya miezi miwili.Ninashindwa kuelewa hivyo vijiji ambavyo CCM wanaamini watu wake wamebaki na akili za zamani ni vijiji vya wapi????
Watu mnaogopa kuwapokea watu eti waliiba kura 2010!!Tume yetu bado siyo huru na wizi wa kura utakuwepo,hao waliowahi kuiba kura wanaweza kuwasaidia namna bora ya kupambana na wizi wa kura kuliko mnavyofikiri ninyi!!
Kushabikia CCM inabidi uache kushirikisha ubongo wako au ubongo wako uwe dhaifu!!!Mtu anauliza eti unajuaje kuwa mtu anataka kuhonga kabla hajahonga????CCM bila rushwa haiwezekani,Mangula alilitambua hilo akatuliza mzuka alioingia nao.
Kwamba alikuwa akishirikiana na Zitto na Slaa kupanga mikakati MIBAYA na mizuri kwa nchi!!Wakati wote huo DHAMIRI yake ilimruhusu lakini uteuzi wa wakristo watupu na kuvuliwa nyidhifa kwa Zitto na Kitila dhamiri imekataa.Bado tuna tatizo kubwa sana ktk siasa za taifa letu.
ZZK yuko vizuri upstairs lakini bado anapungukiwa uwezo wa kuhimili siasa za jimboni kwake na chama chake.2010 alishinda kwa shida sana dhidi ya Robinson Lembo wa CCM,mnaosema ana uhakika wa kushinda jimboni cjui kigezo chenu ni nini!!
Kuna changamoto zinapelekea hayo mnayolalamikia.Ideally hata paracetamol mgonjwa anapaswa kuelezwa madhara yanayoweza kutokea!!Recommended history taking and physical examination time isn't less than 40min,achilia mbali muda wa kumuelimisha mgonjwa.Siyo rahisi kutenda ipasavyo,tunajaribu kufanya...
Siamini kama kweli uelewa wako ni mdogo kiasi hiki,likely ni athari za siasa uchwara.Amelielezea vema hlo mpaka akatumia Rwanda kama mfano,misaada ni relief ya muda mfupi ktk harakati za kujenga taifa imara!!Ni aibu 50yrs post independence vichwa vinatuuma kwenye sector ya afya eti kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.