wapumbavu ni wengi ktk nchi ya tanzania ndo maana wengi hawana ajira na ht km hajasoma kuna kazi nyingi ktk nchi yetu makampuni makubwa yamewekeza tz zina uwezo wa kuwapa vijana kazi nyingi tu ambazo si proffessional..lkn kulingana na siasa za washenzi walioingilia nchi inakua ngumu sn kwa watu...
ninapenda kuliongelea swala la watu kuuawa bila sbb za msingi naishangaa nchi hii iliyona aman na utulive ...eti kuna viongozi wa majeshi ya ulinzi na usalama...wanafanya nini ...TAFAKARI CHEDEMA NDO WAMEKUA POLICE SS KUFATILIA HAKI ZA WANANCHI NA MALI ZAO...JE HII NA KAZI YA CHADEMA LKN NI KWA...
jaman....kweli nimevutiwa na jukwaa hili...kiukweli nataka kua mmoja wa wa family hii ili tuweze kubadirisha mawazo na kujengeana hojaaa mbalimbali za maisha.
lakin mi nafkiri kaka kuna mazingira ya kuachia mwili na yasiyo yakuachia mwili wazi...mfano upo club, swimming na maeneo mengne ya starehe za usiku...na ukiwa na mpenzi wako sion tatizo ....lkn km m2 ataamua from no where kukaa uchi atakua na intension yake piaa...may be yupo ktk makasino...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.