naombe mliokaribu Ndugu yetu huyo SIJUI KAMA NI PROFESA AU NI DOCTA Januari Makamba anavyo waambia wa tannzania kuwa wawekezaji wa mitambo inayozalisha umeme wa tanzania wanaidai tanzania bilioni 263 hivyo wamezima mitambo yao na hivyo umeme uliopo ni ule utokanavyo na vyanzo vyetu vya maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.