Nilipoteza rafiki yangu ndugu mpendwa NDINKWEGA 2022 february nilihisi kitu kisicho cha kawaida kisichoelezeka, kufiwa na mtu wa karibu kinauma sana kwa kweli. Na huzuni yake haifutiki kirahisi sana. RIP
NDIKWEGA
Wakawateka na watu wao wakaenda waficha gaza israel ni noma. Na mpaka sasa wanawashikilia mateka wao wengine wamewaficha gaza. Naanza pata wasiwasi na akili za mwamedi na allah na walichoandika kwenye vile vijitabu itakua uujinga sana
Mpaka sasa 38700+ zaidi ya 2% ya population ya gaza majeruhi ni 79000+ mtu bado anabwabwaja humu. Kwa siku wanakufa watu zaidi ya 100 israel akanyage twende
Ungekua binadamu ungewaonea huruma sana watoto na wakina mama wnavoteseka kule. Allah na fujo zake kawatelekeza wauawe 40000 mpaka sasa na wengine 100000 hawajulikani walipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.