Inawezekana Litakuwa tukio la bahati mbaya tu kwani aliingia kwenye mtego wa kuwanasa majambazi kama walivyomkosa kumnasa yule afisa uhamiaji?? R.I.P MWANGOSI
Kama kusema watanzania wameshasema sana,stil huyu ****** haelewi,wala hataki haka katabia ka kuombaomba. Inawezekana ni hob yake..............................................!
Hivi huwa anaanzaje kuomba.... hooo my country is very poor, so please white help me dollars,pound,yen and in return...
Ni kweli Kanchi, wapo ambao yamewakuta tayari. Kuna mmoja yupo Sabastian Kolowa as tutorial assistance alimaliza hiki chuo LLB,then aakunga MBA hapo hapo tumaini. Yaliyomkuta huko kazini anayajua mwenyewe. Sasa anasoma LLM st augustine.
Mimi ni mwanafunzi hapa tumaini iringa,huwa najiuliza...
:bange::bange::bange:Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Tumaini University-Iringa,fani ya BBA(Human resource). Ukweli inasikitisha sana na inaumiza sana tunayotendewa sisi wanafunzi.
Angalia mifano hii michache.
1. Kuna wanafunzi 18 kwa idadi wameshindwa kumaliza chuo mwaka jana baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.