Search results

  1. Elisha Kigahe

    Suala la tozo kuna makundi mawili yameibuka

    Habari ndugu zangu watanzania na rafiki wa Tanzania. Kumekuwa na makundi mawili yameibuka katika suala hili la tozo. Binafsi naona kundi moja ni Lile la wanafiki na jingine ni Lile la ukweli. Kiuhalisia, kwa Sasa Hali ya maisha imekuwa ngumu kiasi chake. Fedha imekuwa ikipatikana kwa shida Sana...
  2. Elisha Kigahe

    Utambulisho wa Elisha Kigahe

    Habari! Jina langu ni Elisha Kigahe. Nimevutiwa kuwa mmoja wa wajumbe wa JF. Naomba mnipokee.
  3. Elisha Kigahe

    SoC02 Tatizo la vijana kushindwa kujiajiri

    Hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kukosa ajira. Makala hii, itaangazia changamoto zinazo wakabili vijana katika sekta ya ajira binafsi. Kutokana na wingi wa vijana wanaohitimu vyuo vya kati na vyuo vikuu, suala la ajira limekuwa tatizo sugu hapa Tanzania. Mifumo yetu ya elimu...
Back
Top Bottom