Changamoto kubwa kwa upande wa ufugaji wa Kuku wa kienyeji ni jinsi ya kupambana na magonjwa hasa kwa vifanga. Inabidi ujifunze na upate ushauri wa kitaalamu katika eneo hili.
To ALL DEMOCRATIC ACTIVISTS : THIS IS A TYPICAL TERRORISM DONE TO INNOCENT CIVILIANS. Terrorist acts result in destruction. The effects are more extensive than just physical damage and include diverse collateral consequences. Terrorism works because of the psychological effects that can...
Huu ndio ubabaishaji. Inavyoonekana wapelelezi wanajichanganya, kila kukicha wanajitahidi kupaka paka rangi lakini nyumba ni ile ile mbovu!!. Kwanza tujiulize sheria hii ya ugaidi ni mpya hata hakimu wa kwanza alijichanganya kwa kuwauliza watuhumiwa kukubali kosa au la wakati mahakama hiyo...
Hakuna shaka kwamba zanzibar ina waislamu wengi kuliko wakristo. Mpango wa kuangamiza ukristo zanzibar umeanza siku nyingi kwa kusimamiwa na serikali ya mapinduzi zanzibar. Mfano, wakati wa mfungo wa ramadhani wakristo hawaruhusiwi hata kula karanga hadharani na serikali ya huko inalisimamia...
Atakachosema:-
1. Viongozi wote au vinara wa mgomo wa madaktari serikali inawasimamisha kazi.
2. Serikali itaagiza madaktari kutoka nchi marafiki kama China na Cuba ili kufidia pengo la Madaktari
Na mwisho atatoa machozi ili kuonyesha unafiki kwa yale yaliyotokea kwa Dr. Ulimboka.
MUHIMU...
Sijaona jipya katika mkutano huu zaidi ya mipasho na kuangalia nani kavaa tenge zuri la kijani, shati gani la kijani na njano. Hakuna sera zozote zaidi ya kuonyesha CCM ina hofu kubwa na Chadema!
Nape huo ni ulevi wa machana kweupe! CCM ina wanachama ml.6. Watanzania tupo takribani ml.40.
Je wanachama wote wa vyama vya upinzani wametoka CCM?
Nina wasiwasi kama nape alikuwa anafanya vizuri darasani hasa katika somo la hesabu!
Baada ya miaka 50 ya uhuru MWENENDO (TREND) WA CCM YAMEFIKIA HAPA:-
1. Ubunifu -0%
2. Upeo - 0%
3. Upembuzi wa mambo 0%
4. Uongozi na Madaraka kwa Umma 0%
5. Ufisadi na uporaji wa mali za umma- 100%
6. Kujuana na kubebana katika huduma na uchaguzi 100%
7. Kudanganya wananchi kuhusu maisha yao...
Dr. Mwakyembe ulichofanya sio maamuzi magumu kama yanayosemwa na Ex- prime minister (Lowasa). Bali ni maamuzi SAHIHI kwa WAKATI MUAFAKA. Huu sio wakati watu kubebana. Ninachokuomba Dr. Mwakyembe nenda mguu na njia hadi Mamlaka ya Bandari utakuta madudu ama sio uchafu na ufisadi ulivyojaa...
Hello,
Hili nalo tulipiganie!
Kabla ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kuanzishwa, Wananchi wavuja jasho waliokuwa wananchama wa CCM na wasiokuwa na chama walichangishwa pesa kwa lazima ili kujenga viwanja vya michezo kama CCM Kiruma, Mirambo Tabora na baadhi ya majengo aambayo kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.