Bila shaka kuna wanachama wa chaga deleopment manifesto (CHADEMA) ambao ni waislam nao wajinga vilevile. N wakiristo wana akili hata walioko CCM. This is the kind of thing
Humjui Prof Mlacha wewe. Alikuwa Mkabila zaidi kuliko Udini unaofikiria kwa udini wako. Na ndiyo maana Prof Msoffe yupo pale alipo kuendeleza Ukabila huo.
Mlidhani kwa madhehebu haya mna haki ya kudai kila mmoja eneo la kujenga kanisa katika kila chuo kikuu cha Dodoma. Eti eka kumi hazitoshi ! Kwa hili, Mh. Magufuli rais amenena iliyo sawa na UDSM is the best model.
Ama kweli nyani haone kundule, kwa takwimu walipokuwepo hao waliohamishwa UDOM ilionekana kuna udini (chuo cha waislam merely allegations). Leo wamehamishwa zimeletwa takwimu inadaiwa inaonekana ni udini kuleta hoja za kuwepo wakiristo wengi. Hivi UDINI hasa ni nini? kuwepo kwa waislam katika...
Hivi kuzalisha maana yake nini?
Askari (polisi, jeshi, nk) wanazalisha nini?
Walimu (nursery hadi chuo kikuu) wanazalisha nini?
Huduma wanayotoa haitoshi kukidhi haja ya kupata stahiki zao?
Hivi ni kweli mshahara unaongezwa au kupunguzwa kwa kigezo cha uzalishaji?
Ni je wafanykai kwa ujumla wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.