Uchambuzi tayari..
Nakubaliana na wewe, ila bila kuuzungumzia mfumo wao wa defense na pattern nzima ya timu, bado haitoshi. Jamaa hata eneo la ulinzi lina shape nzuri. Kushambulia pekee haitoshi. Wanafanya hivyo kwakuwa tayari wanajua kama watapoteza mpira wakati wa attacking watazuiaje...
Paragraph nyiiiiiiiiiiiiiiiiiingiiiiiii ila unaeleza jambo hilohilo tu. Kwann usingeishia aya moja tu kuliko kujipinda kuweka aya nyingi za kurudia maelezo
Hii story sehemu ya kwanza tu nilijua ni CHAI. Ila sehemu ya pili ndio imekuja kufanya niamini wala sio chai, ni maji tu yameinjikwa kwenye jiko lisilo na moto, ikatiwa majani na kushushwa tayari kwa kunywa..
Hata hivyo umezidisha mno majani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.