Nusu fainali ya kwanza...
Mabingwa watetezi Mlandege FC wametinga fainali ya Mapinduzi Cup baada ya kuitoa APR kwa mikwaju ya penati.
FT: Mlandege FC 0-0 APR FC (Pen: 4-2)
Heshima kwenu wakuu.
Baada ya kuachana na mzazi mwenzangu, aling’ang’ania kuishi na mtoto wetu. Niliafiki na nikatengeneza utaratibu mzuri tu wa kumhudumia mtoto akiwa kwa mama yake.
Wakati huo mzazi mwenzangu akiwa na duka dogo la nguo (nililokuwa nimemfungulia)pamoja na kijigrosary hapo kwao...
Wakuu, mwaka 2016 nilifunga ndoa ya kiserikali. Ilinilazimu kufanya hivyo kutokana na uhalisia wa mazingira niliyokuwa naishi na mwenzi wangu huyo wakati huo. Mwaka 2019 mwezi Disemba tulifanikiwa kupata mtoto. Na ilipofika Januari 2021 tuliamua kumbatiza mtoto wetu. Kama kawaida ya imani yetu...
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF kitambo. Na kiukweli nimejifunza mengi nimeburudika na nimeona umuhimu wa kushiriki kama member.
Hatimaye leo nimefanikiwa . Naomba mnipokee wana JF hasa GTs. Mungu ibariki JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.