Uhai wa Mtu ni wa thamani. Tuheshimiane kama tunavyoheshimu nafsi zetu! Kitendo cha kumpiga risasi Rais wa Wanasheria wa Tanganyika ni kitendo kibaya sana cha kuwadharau wanasheria wote. Yaani wanasheria hawana maana yoyote! Kibaya zaidi ni kitendo cha kuambiwa waliompiga risasi kinyama...
Wakuu natafuta IC ni spea kwa ajili ya Projector. Mtu yeyote aliyenayo au aliye na uhakika mahali inapopatikana naomba anijulishe. Ni TOP256YN, asanteni wakuu.
Hakuna alama isiyo na maana.
Kwa Waislamu Nyota na Mwezi vinamaanisha kwamba mamlaka yao inatoka kwa mungu mwenye makao katika Anga Ya Pili kwenye Mwezi na Nyota. Kwa Wakristo Msalaba unamaanisha ukombozi kwa njia ya mateso; kwa Mkristo kupita katika vipindi vya mateso siyo jambo la ajabu...
Majanga haya makubwa yanayofululizana, yanatokana na Pepo la udhalimu kitaifa! Kama mtu, au Halmashauri, au Manispaa, au Chama, au Serikali kwa ujumla, anajua kwamba amedhulumu haki ya mtu mwingine, inampasa arudishe haki hiyo kwa mhusika! Haiwezekani pamoja na juhudi zote za Polisi kusimamia...
Meno yanatofautiana kati ya mtu mmoja na mwingine. Wapo wengine memo yao ni marefu kiasi cha kutoka nje ya mdomo. Wengine meno yao ni mafupi sana, kiasi kwamba ukiwaangalia kwa haraka utafikiri ni vibogoyo. Pia wapo wengine wasioota meno vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.