mimi ni mmojawapo.nimemaliza hapo mba makambako brach now nasoma llm-udsm. Mba yao haina maana naona aibu. Nakumbuka kuna watu hawajawahi kuingia class, walilipa fee tu then wakapotea for 18 months, cha ajabu tulikuja kuwaona siku ya graduation, na hakuna hata mmoja aliyepata b plain.
Naomba...
Kuhitimu ualimu maana yake ni kuhitimu mafunzo ya umaskini.Ndo maana ya kwenda BTP, sasa unalalamika nini? jikaze subiri mpaka 2015 mtapewa kazi ya kusimamia uchaguzi na NEC,ndo posho pekee ya ualimu. Hakikisheni CCM inashinda tena ili madai yetu yaendelee kuwa malimbikizo.
Kama una ndugu yako BBA Tumaini iringa muulize hili. "KUNA BINTI MMOJA AMEHAMIA THIRD YEAR BBA-ACCOUNTING IT WAS LAST YEAR AKITOKEA CHUO CHA RUHENGERI -RWANDA. (reg. no 05/0691).
FIRST SEMESTER HIYO HIYO THIRD YEAR AKAWA AMEDISCO, LAKINI SASA HIVI YUPO TENA THIRD YEAR BBA-HUMAN RESOURCE(reg no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.