Tunajadili mustakabali wa Taifa la viazi vyetu vya leo na baadae. Ukiona hoja ya mwenzio haina mashiko usitukane bali ipinge kwa hoja ili aelewe aungane na wewe. Watu wengi wanadhani kuichukia CCM ni kuwa fundi wa matusi. IQ
Huu mwaka ndo ulikuwa wa kukiangusha chama tawala lakini kwa kitendo cha kuchukua makapi ya ccm na kuyapa nafasi za juu kura yangu haitotumika kwa hili.
Hatuna viongozi au mfumo wa kweli wa kutukomboa. Upinzani ulikuwa kimbilio lakini sana umedhoofu. Kitendo cha kuchukua makada wa chama tawala ndo waje wasaidie kuleta mabadiliko imedhihirisha kuwa hakuna dhamira ya kweli ya kuikomboa Tanzania. Mvinyo ule ule chupa tofauti. Kwishney
Unakumbuka Nyerere alikomtoa Mkapa? Walikuwepo pia walioamini ndo mwisho wa CCM.
Unakumbuka Mkapa alikomtoa JK huku Sumaye akibwagwa? Walikuwepo pia walioamini kuwa ndo mwisho wa CCM.
Basi na Premier Magufuli atatoboa na CCM itaendelea kuwepo.
Wewe uliwekeza akili zako kwa Lowassa ukiambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.