Nadhani bahati mbaya wote wanadai kumuunga mkono rais hawakusema wanataka kumuunga mkono namna gani baada ya kuachia nafasi zao. Kinyume na hapo wangesema tu wanataka wawe wabunge na madiwani wa chama tawala na sio kumuunga mkono rais.
Due to ethical issues in our Society, most of the organizations around the globe now days prefer conducting background checks for their new recruits or prospects. Te task may be conducted internally or outsourced. When outsourced, the consultants do it for certain amount of payment according to...
Fraud is not a new terminology in this era of science and technology. It is everywhere! Though it takes many forms, but the simple definition says that “Fraud is a deliberately deception for personal or financial gain”.
We have witnessed many organizations suffer losses due to fraud in each...
Wazungu sio watu wazuri, we unafikiri mpaka trump kuomba kuona cheti cha kuzaliwa cha Obama kama kweli alizaliwa marekani unadhani ni kawaida. Jamaa alipooneshwa akaendelea kutaka aone na vyeti vyake vya shule! Kwa ufupi ni kwamba walikua shocked hizo color kuwa white house!
Naomba ufafanuzi katika ELRA 2004 kifungu cha 40 (1) &(2) kuhusu unfair termination. Compensation inayozungumziwa kifungu cha (2) ni miezi 12 tu au pamoja na mshahara yako tangia unafukuzwa hadi hukumu? Manake wanasema is not substitute to any other amounts! Hizo other amount ni pamoja na...
Mimi nachoona kinachoendelea sasa hivi ni siasa tu na sio ukweli. Ni muhimu wananchi tujue kuwa suala la ufisadi/ubadhirifu au fraud huwa inaandamana na concealment(uficho). Hii ndio sifa kuu ya Fraud yoyote ile duniani. Sasa hapa kilichotokea kinawezekana ni fraud, tena Grand Corruption...
Well said.. na cha kuongeza ni kwamba chabruma anashindwa kuelewa kuwa umoja huu ndio utakaoondoa hizo tofauti alizozitaja automatically kwa sababu sasa watazungumza kama wapinzani(UKAWA) na sio chadema wala cuf. Akumbuke hata Nyerere alisema kuwa ndani ya muungano kuna watanganyika na...
We all face the problem of unemployment in our countries. Fraudsters are taking the advantage to find how to defraud those who need jobs by creating fake job adverts online. These scams are all over the world and unfortunately as people are desperately need jobs, they easily caught in a trap...
Mambo ya imani ukiyachanganya na science jibu lake lazima liwe kama hayo yanayotolewa na GT wa hapa. lakini cha muhimu lazima ujue kuna mahala ambapo science inakoma na imani inaendelea.
Salaaamu,
Kuna vifungu vya sheria vinavyohusu Wajibu wa kila raia katika suala la Ulinzi na Usalama wa Taifa ambavyo huwa vinatutatiza wengi tu na mimi nikiwemo. Labda kwa leo niviweke hapa ili wanasheria na wasomi wengine watusaidie.
Katiba ya sasa yaani hii ya mwaka 1977 sura ya kwanza...
Nianze kwa kuwasalimu wote wanajukwaa,
Natumaini kila mtu anajua nini maana ya rushwa na inafanyika vipi. Ila kwa kukumbushana tu kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa . Rushwa ni kitendo cha hiari au nguvu ambapo mtu hushawishi, hutoa au kupokea kitu cha thamani kwa ajili ya kuathiri maamuzi...
RUSHWA NI JANGA LA KITAIFA NA KIMATAIFA!
Nianze kwa kuwasalimu wote wanajukwaa,
Natumaini kila mtu anajua nini maana ya rushwa na inafanyika vipi. Ila kwa kukumbushana tu kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa …. "Rushwa ni kitendo cha hiari au nguvu ambapo mtu hushawishi, hutoa au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.