Suala la Richmond kurudi bungeni, naliona kwa mtazamo tofauti kidogo.
Kwanza imelenga kumsafisha EL, Kwasababu zipo tetesi kuwa toka awali mama Makinda aliposhawishiwa na kundi la EL kugombea uspika, nia ilikuwa ni kumpata mtu atakayeirudisha Richmond bungeni ili sitta , mwakiyembe na kundi lao...
Kwa heshima kubwa kabisa amani iwe nanyi wote.
Nimekuwa mwanafunzi wa jf kwa muda mrefu sasa. Nimejifunza mengi hapa jamvini nikaona mmenikomaza vya kutosha, mmeongeza uelewa wangu kwa kiasi kikubwa (hata kama sio 100%) na nimejiona sasa napaswa kuwa Great Thinker.
Naomba hifadhi yenu wanajamvi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.