Search results

  1. M

    Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Itakuwa kawaida tu. Hata hivyo hawawezi kutoa tamko au waraka wowote. Hii inahitaji elimu zote kwa pamoja, elimu dunia na ahera. Wengine wana moja tu.
  2. M

    Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

    Tunapongeza TEC kwa kujitambua na kutetea watanganyika bila woga. Mmetimiza jukumu lenu kama viongozi wa kidini kuhakikisha ustawi wa waumini wenu unalindwa kwa njia yoyote ile. Kuna watu wanasema siasa inachanganywa na dini. Mmejenga hospitali, hiyo ni dini? Mmejenga mashule , hiyo ni dini...
  3. M

    Gharama za mobile banking zinatisha, ni ujambazi kwelikweli

    Hali ni mbaya sana sasa hivi. Makato yamezidi mno. Haya si maisha kabisa. Bora tuhamie kule tulikoambiwa.
  4. M

    Rais Samia ni Mgeni Rasmi kwenye Kongamano la Kumtakia Kheri ya Siku ya Kuzaliwa. Lakini haya yote ya nini?

    Mungu atujalie hekima tuweze kutambua mambo mema ma haya yanayotuweka gizani.
  5. M

    Maneno hapa kazi tu, yaondolewe kwenye ndege za ATCL

    Serikali ifute maneno ya "hapa kazi tu" kwenye ndege zetu na badala yake ziandikwe jumbe za kutangaza nchi yetu. Ndege yetu ikitua nje hakuna anaejua maana ya hiyo mineno. Hata kama ni safari za ndani ziwekwe jumbe nzuri na zenye kutangaza taifa letu. Hayo ni mawazo yangu.
  6. M

    IKULU, Dar: Rais Samia Suluhu apokea hati za Mabalozi

    Ikulu Dodoma imefungwa?
  7. M

    Sasa ni wakati Wamachinga wapewe maeneo rasmi ya kufanyia Biashara

    Hata Mwanza hali ni mbaya. Maeneo ya kupita watembea kwa miguu yamezibwa.
  8. M

    Taifa Stars yabamizwa 1-0 Equatorial Guinea na kukosa ticket ya kushiriki AFCON 2022...

    Mpira ulikuwa mgumu sana. Hata hivyo Guinea wameonyesha uzoefu kwani timu nzima inacheza ina wachezaji wanaocheza nje hasa Spain. Timu yetu ilikosa umakini kipindi cha pili.
  9. M

    Kwanini Ratiba ya Mazishi inabadilika badilika hovyo?

    Nyerere hakuwa madarakani wakati alipofariki.
  10. M

    Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

    Hao ni wahisani sio mabeberu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    E parking

    Bado kunahitajika utafiti wa kutosha kuhusu hili. Maeneo mengi kwa sasa hakuna uhalisia wa gharama za parking. Ukipaki hata dk unadaiwa 1500. Tujuzwe pia muunganiko huu na gari ukoje au ni mtu akiliona gari ndio anaingiza kwa system au ni automatic. Hali bado sana.
  12. M

    Vifungashio vya bidhaa za vyakula (karanga,ubuyu,etc) havijazuiwa

    Hii bado inachanganya, ufafanuzi na elimu zaidi inahitajika.
  13. M

    E- Parking Mwanza ni hujuma kwa Magufuli au uelewa mdogo wa wasaidizi wake?

    Kweli hali ni mbaya Mwanza. Hii si haki kabisa, ni hujuma na hili lazima liangaliwe na viongozi. Haiwezekani kusimama kidogo tu sh 1500. Kama mfumo ni mbovu bora watuambie tujue na warekebishe haraka. Huu ni unyonyaji kabisa. Mpaka sasa pia hatujui huu muunganiko wa system na kujua muda halisi...
  14. M

    INAWEZEKANA HII INATOKANA NA UGUMU WA MAISHA

    Amechanganyikiwa na hali ya maisha
Back
Top Bottom