Tunapongeza TEC kwa kujitambua na kutetea watanganyika bila woga. Mmetimiza jukumu lenu kama viongozi wa kidini kuhakikisha ustawi wa waumini wenu unalindwa kwa njia yoyote ile.
Kuna watu wanasema siasa inachanganywa na dini. Mmejenga hospitali, hiyo ni dini? Mmejenga mashule , hiyo ni dini...
Serikali ifute maneno ya "hapa kazi tu" kwenye ndege zetu na badala yake ziandikwe jumbe za kutangaza nchi yetu.
Ndege yetu ikitua nje hakuna anaejua maana ya hiyo mineno. Hata kama ni safari za ndani ziwekwe jumbe nzuri na zenye kutangaza taifa letu.
Hayo ni mawazo yangu.
Mpira ulikuwa mgumu sana. Hata hivyo Guinea wameonyesha uzoefu kwani timu nzima inacheza ina wachezaji wanaocheza nje hasa Spain.
Timu yetu ilikosa umakini kipindi cha pili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.