Tunapongeza TEC kwa kujitambua na kutetea watanganyika bila woga. Mmetimiza jukumu lenu kama viongozi wa kidini kuhakikisha ustawi wa waumini wenu unalindwa kwa njia yoyote ile.
Kuna watu wanasema siasa inachanganywa na dini. Mmejenga hospitali, hiyo ni dini? Mmejenga mashule , hiyo ni dini...
Serikali ifute maneno ya "hapa kazi tu" kwenye ndege zetu na badala yake ziandikwe jumbe za kutangaza nchi yetu.
Ndege yetu ikitua nje hakuna anaejua maana ya hiyo mineno. Hata kama ni safari za ndani ziwekwe jumbe nzuri na zenye kutangaza taifa letu.
Hayo ni mawazo yangu.
Mpira ulikuwa mgumu sana. Hata hivyo Guinea wameonyesha uzoefu kwani timu nzima inacheza ina wachezaji wanaocheza nje hasa Spain.
Timu yetu ilikosa umakini kipindi cha pili.
Bado kunahitajika utafiti wa kutosha kuhusu hili. Maeneo mengi kwa sasa hakuna uhalisia wa gharama za parking. Ukipaki hata dk unadaiwa 1500. Tujuzwe pia muunganiko huu na gari ukoje au ni mtu akiliona gari ndio anaingiza kwa system au ni automatic. Hali bado sana.
Kweli hali ni mbaya Mwanza. Hii si haki kabisa, ni hujuma na hili lazima liangaliwe na viongozi.
Haiwezekani kusimama kidogo tu sh 1500. Kama mfumo ni mbovu bora watuambie tujue na warekebishe haraka. Huu ni unyonyaji kabisa.
Mpaka sasa pia hatujui huu muunganiko wa system na kujua muda halisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.