namimi pia nimetumiwa hiyo msg,lakini nafikiri ni utapeli,
Nafahamu hizi test huwa zipo na nilishawahi kufanya kwenye shilika moja, lakini sikutakiwa kulipa wala kukomunicate na hao invigilators
bali hilo shirika waliarrange procedure zote mimi nikapewa password tu kwaajili ya kufanya hiyo...
Maisha ya ukewenza, sio maisha bali bp.
hata siku mja mtu huwezi kuridhika kutoka moyoni,kugawana mapenzi.
kitendo cha kumuoa mwanamke mwingine kwa uwazi na kukujulisha na pengine kumleta kwenye nyumba unayoishi w, tayari hapo mapenzi yamekwisha.
hakuna dawa yoyote hapo zaidi ya kusepa.
mmmh, mdada polee, nimeona wachangiaji wengi hawaoni kama ukimya wake ni sababu. hiyo ni sababu tosha ya kukutia wasiwasi iwapo mwanzoni hakuwa hivyo, naww bado hujaweza kuizoea hiyo hali.lakini cha msingi ni kuendelea kuvumilia tu.au mi naona changamkia hao wanaokumendea ili utulize akili yako...
kiukweli kabisa haya mavazi hayakuwa utamaduni wetu! lakini sasa mambo yamebadilika ni kama tumebadili utamaduni.haya mavazi yamekuwa ndio fashion za kisasa na imeonekana yanavutia sana.ushauri wangu kwako, kama kutokana na imani yako unaona haya si maadili, usipende sana kuangalia, au...
shukuru umempata wingine ambaye anakupenda sana.kumpata anayekupenda ni msaada mkubwa katika kumsahau huyo aliyekutosa.kuna watu wanatoswa na hawapati watu wakuapnda kwa dhati kama ww? can u imagine?
kinachokusumbua na kukuumiza ni kule kuachwa na mtu ambaye ulimpenda, kumthamini na...
una tatizo,unaonekana unaamini kwamba mwanamke anayefanya huo mchezo hana thamani tena na hafai kuolewa, hata hao ulokuwa ukiwafanyia ulikuwa unaishia kutowathamini.ndiomana hat huyo sasa umemshusha thamani.
Ushauri wngu, muoe huyohuyo lkn mkubaliane kuacha.7bu hata ukimuacha ukamuoa mwingine...
mchague haraka huyo mmoja, na uwajulishe kuwaacha hao wengine haraka,sababu kadiri unavyozidi kuwapotezea muda na ndivyo watakavyosononeka zaidi siku watakayojua.
Ezan
tulia kwanza mpaka utakapojiona uko tayari kuonana na kuongea nae,unaweza ukaenda haraka then sabbu ya kupanic na kumuogopa ukashindwa kuongea naye, naye anaweza asikwambie ukweli wote, kwa kuogopa reaction yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.