Search results

  1. L

    Walimu acheni ujinga hebu nendeni sehemu mlizopangiwa.

    Lakini tusiwalaumu tu walimu, je serikali imezingatia chaguo la mwalimu sehemu iliyompangia? kwasababu mwalimu huyu alipewa fomu ya kujaza mikoa mitatu ya kufanyia kazi, hivyo basi mwalimu huyu akipangiwa sehem aliyoomba hawezi kuomba kubadili tena. kama serikali haizingatii mapendekezo basi...
  2. L

    Usanii wa serikali na uchakachuaji mitihani, kurudi f2.

    kuhusu kufeli ka kwa wanafunzi sababu ni nyingi kama walivyoziainisha walio wengi, Ila serikali isijidanganye kuwa kuongeza idadi ya walimu tu mashulen ndio kutawafanya vijana wafaulu. Kwakweli ukweli ni kwamba walimu wengi wa shule za serikali hasa za sekondari wapo katika mgomo uliotangazwa...
Back
Top Bottom