Mimi nimemwelewa ila pia kuna wanawake ambao ni matapeli sana na kama ni laana yawezekana pesa walizowahi watapeli wanaume zimewapa laana hata ya kutoolewa kwani zile pesa zilizotapiwa na wanawake matapeli zilileta majonzi kwa familia za wale wanaume mfano :
Mwanaume ametapeliwa mamilioni na...
Kwenye familia za kiafrika watoto ambao baba zao ni wa nje ninwengi sana ona hii mimba mtoto akizaliwa atamwita baba huyo wa ndani kumbe baba yake ni wewe. Safari njema katika mapenzi yako. Siajabu na wewe baba yako sio huyo unaemwita baba.
Wanawake baadhi na hasa waliokuwa kwenye ndoa kwa mda mrefu huwa na mawazo finyu na kufikiri wakiachika wanaweza kuolewa na kuanza maisha kama yale walioishi wakiwa na waume zao ujanani, kumbe hawajui wakishaachika wakipata wanaume wengine sio wa kuwaoa tena bali ni kuwachakaza kabisa na pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.