Biashara yenyewe ni kujiunga na mtandao kwa kutumia mwenyewe na kuwambia wenzako nao kuhusu matumizi ya hizo bidhaa....
Biadhaa za kusaudia afya na kuufanya mwili uwe na kinga za kiasili ambazo hatuwezi kuzipata siku hizi katika milo yetu ya kila siku.
Wakati wa kulia na kudai eti hakuna ajira Tanzania, inafika mwisho sasa.
Vijana kwa wazee wale wote wanaotaka kuondokana na hali ngumu ya maisha inayopanda kila siku, wanatakiwa kutambua kuwa mabadiliko ya kweli yapo mikononi mwao wakiamua.
Kuna biashara nyingi zinazoweza kuwatoa katika...
Tunataka ajibu, kiburi akamfanyie super model wa old moshi. Siyo watanzania wa leo.. Tunataka aje atuambie ili tuelewe ukweli asijifanye mbabe kabisaaa
Hilo ni chnga la macho waheshimiwa. Kaka JK kwa namna moja ama nyingine ni hao hao. Kauli zake pia zinamfanya watu waamini kuwa wanakula wote, waache hiyo zugaring yao.... yumo ndani ya kapu moja ila anachungulia kwa mbali hatumuoni...
Oh basi kweli wameamua kuuwa upinzani jamani. Jopo la wanasheria msaidieni huyu mzee aliyeweza kuingia bungeni bila hata punje ya rushwa.
Na kama ni kumzalilisha mtu inahusiana vipi na ubunge?
Kama huyo EL anaonekana kuonewa si aende kwa pilato ili ukweli uonekane au ujulikane. I am sure hata yeye analo hilo gazeti ofisini kwake.
We need to know the reality now ule wakati wa kuabudu watu eti tu wao ni vigogo umepitwa na wakati kabisaaa
Migodi ipo bora tu ufiche mikataba.
Ukitaka pia wekeza kwenye utalii, ni biashara nzuri na inalipa tu. Mimi binafsi nadili nayo unaweza tembelea hapa www.tanancientroutes.net
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.