We jamaa, mbona Kenya wanahali nzuri kuliko Tanzania? Its 23% vs 24.7% wanalala na njaa. Kenya is number 87 kawati TZ ni 92. Sijaelewa labda.
My source: Global Hunger Index Scores by 2021 GHI Rank
Huyo naye hatabaki salama. Mkewe lazma atakuwa kama si mama lishe, basi muuza matunda barabarani au mama wa chapati au msusi au..... asha date na waliotajwa mara nyingi huko awali.
Wanawake wengi wa kilokole wanawapenda na kuwaheshimu wachungali wao kuliko waume zao.
We fikiria unamwambia naomba nipikie anakujibu, "mchungaji kasema tuwahi kanisani"
Hii ni inchi ya kidemokrasia inayofuata Katiba.
Kama kuna mtu aliongoza kwa kutofuata matakwa ya sheria mama (Katiba) huo ni upotovu tu.
Awamu ya 6 imeingia kwa mujibu wa Katiba na tunaona sote (Katiba ya inchi) ndiyo yenye kushika hatamu.
Unayoyataka wewe kama ulivo ya orodhesha sidhani...
Akili za kichochezi!
Kon nani alikwambia Rais akiwa wa Bara, Zanzibar inapuuzwa au akiwa wa mzanzibar ataiwwka Bara nyuma kwa utashi wake.
Tulia tuli, inchi iko shwari kabisa.
Dah! Jamaa, wa Nanjilinji tunahusikaje na hoja za Dudus. Sisi ni kama watu wengine wema tu, generalization of arguments such as this is real unfair to your fellow citizen. We may be geographically separated but know that the place you pointed out is the home of sympathizers as you.
Hayo tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.