nijambo la kushtua sna na lakuhuzunisha sana ni jambo linalotakiwa kukemewa kwa nguvu zote na nijambo ambalo linatakiwa lizidi kuwa chahcu ya kyfahamu ni nini hasa haki za binadamu hususani Africa zinatakiwa zipewe nakuongezewa nguvu kali sana ili kuweza kulinda dhamani na utu wa mtu
warizi wa elimu how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights. too sad
how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights.too sad
unajua inasisimua sana kuona...
warizi wa elimu how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights. too sad
how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights.too sad
unajua inasisimua sana kuona...
unajua nini, tunapenda sana kuyapa kipaumbele vitu binafsi kuliko maendeleo ya nchi ambayo ndiyo yaliyo sababisha mimi, wewe , yeye, wale tuwepo hapa na hatakuandika kwangu si kwaajili ya mimi na wewe hapan ni kwaajili ya Taifa ambalo ndo miguu yetu tumeitupia ndani mwake, so tujaribu basi hata...
kuisuka ccm na kubaki madarakani daima inawezekana kwa asilimia mia moja bila wasi wasi wala woga wowote ni uamuzi wa chama kupitia ngzi za shina balozi madiwani wenyekiti wa serikali za mitaa na kwingineko endapo watapewa kipaumbele maana wao ndiyo msingi wa chama na serikali kwa ujumla na ndio...
C.V to me sounds nothing to me , what sounds good is what you have inside your mind. i can make a sweet C.V but empty upstairs. C.V just direct employer to know who you are before Questions you. so to my side C.V are just somebody's words of arrangement
to my opinion i don't think if it's a good idea to me it's sounds -ve, the matter is just to seat with ministry of health and discuss in terms of Resettlement Assistance and settle down the differences btn each department and not other wise.
to my opinion i don't think if it's a good idea to me it's sounds -ve, the matter is just to seat with ministry of health and discuss in terms of Resettlement Assistance and settle down the differences btn each department and not other wise.
Jama ni hodari sana maana amenirudisha enzi za vitabu vya hadithi na stori za wafalme wa enzi hizo zilizokuwa zikisisimua nakuweza kujenga picha akilini ya tukio lilivyokuwa linatendeka. Wewe utakuwa ni wazamani mpenda kusoma. All the best nakuomba nikukaribishe kwenye page ya uongozi na siasa ...
Kutokana na yale mapungufu ambayo tayari yamekwisha jitokeza katika uongozi wa ngazi ya juu ya serikal ibasi hatuna budi kwa wenye pages zote kuandika ni jambo gani lifanyike ilikujakuleta mabadiliko dhabiti ya nyanja znzima ya sekta ya uongozi wa nchi, kiongozi atakaye ingia madarakani ni...
Bila ya uongozi kuwa bora, basi hata utawala hautakuwa bora, maamuzi yatatoka moyoni na si kichwani, hivyo utafanya kwa kuuridhisha moyo yaani nafsi tu.
KIONGOZI NI MTU AMBAYE HATAKIWI KUFUMBIA MAOVU, NDANI YA TAIFA LAKE TUKUFU.Uongozi na siasa
‎"IF YOU LET GUILTY GO FREE, PEOPLE OF ALL NATIONS WILL HATE AND CURSE YOU"
BUT IF YOU PUNISH THE GUILTY, THINGS WILL GO WELL FOR YOU, AND YOU WILL PROSPER.
uongozi wa nchi ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania umechanganyika na siasa safi na siasa chafu inayoongozwa na baadhi ya wanasiasa wenye nia nzuri na nchi. Lakini kwa bahati mbaya uongozi umemezwa na sera za kisiasa ambazo hazitofautinani kabisa na meli kubwa inayokwenda masafa marefu huki...
Uongozi na siasa
Viongozi wa utangulizi ni watu ambao wako tayari kujitupa wenyewe, bila kujali hatari yote inayoweza kujitokeza mbele yao, wakisonga mbele ili kugundua na kufikia malengo ya kihuduma, wakiyasahau yaliyonyuma, wakiyachuchulilia yaliyo mbele.
Viongozi hawa huwa na moyo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.