Nakugongea "like" mkuu. Kama watanzania walionesha nia njema kwa nchi yao kwa kukipiga chini chama cha mapinduzi ni dhahiri kabisa bwana pasco unawakosea watanzania na unapaswa utuombe radhi.
Mimi naamini tulifanya sehemu yetu lakini kwa bahati mbaya wao ccm wameushikilia mpini kwa mabavu...
Safi sana Presidaa Slaa. Najua penye vichwa kama ww hakiharibiki kitu. Safari inaendelea, ila utumegee uliyomwachia jk ili tumbane maana hachelewi kuchakachua huyo
Ikulu ni ya Slaa(urais), Jk mpangaji tu na dalali wake cjui nani? Hapa ninauhakika anahojiwa aliye mpa funguo za nyumba nani(madaraka)? Cheki hiyo foto ya kwanza uone mpangaji anavyo chekacheka
Amani iwe kwenu wana Jf wote.
Kilio changu leo nakirudisha kwetu wenyewe watz kuhusiana na hali ya maisha yetu kuzidi kuwa mbaya.
Tukiangalia swala la umeme lipo wazi hakuna mtanzania anayepata nafuu, sasa tumekuwa watamu ktk kuongea pembeni huku tukiacha kuchukua hatua
Kama tumeweza kuwapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.