Search results

  1. NEXTLEVEL

    Mashamba ya kukodi na Kununua yanapatikana

    Nipigie tuongee
  2. NEXTLEVEL

    Mashamba ya kukodi na Kununua yanapatikana

    Kulingana na Muda wa zao ila maximum mwaka1
  3. NEXTLEVEL

    Mashamba ya kukodi na Kununua yanapatikana

    Kati ya Soga na Kipangege pia Maeneo ya Chamgoi
  4. NEXTLEVEL

    Mashamba ya kukodi na Kununua yanapatikana

    Watu wanaishi ila umeme bado umbali kama Km1 hivi
  5. NEXTLEVEL

    Mashamba ya kukodi na Kununua yanapatikana

    Mazao tofautitofauti yakiwemo mahindi,ufuta,mihogo,mbaazi,etc na kilimo cha umwagiliaji unaweza lima matunda kama mapapai,matikiti maji,etc
  6. NEXTLEVEL

    Mashamba ya kukodi na Kununua yanapatikana

    Mashamba yanapatikana mkoa wa Pwani unaingilia Kongowe upande wa kusho toka Dar.Umbali toka Morogoro road ni km 10 na 12 kwa sababu yako maeneo tofauti. Bei kukodi kwa heka iko kati ya 50,000 na 100000 kutegemea na eneo na ukaribu wa vyanzo vya maji. Bei kununua inaanzia laki 9(900,000)...
  7. NEXTLEVEL

    BUTIAMA, MARA: Serikali yavunja mkataba na TBA baada ya kumlaghai Waziri Mkuu

    Tenda zikitolewa kwa wageni malalamiko lukuki basi tukipewa sisi napo shida tupu. Mungu atusaidie kwakweli tubadilike tunalaumu makocha lakini na sisi wachezaji hatujitumi...
  8. NEXTLEVEL

    Liberia: Marudio ya duru ya pili ya uchaguzi; George Weah atwaa ushindi

    Yaonekana simfuatiliaji wa mambo! Alipogombea awamu ya kwanza alimu ilikuwa kikwazo hivyo ikambidi kurudi shule kujipanga zaidi kawa uchaguzi huu.
  9. NEXTLEVEL

    Anaeuza mtungi wa gesi ya kupikia anitafute

    Duh pole uliuzwa siku nyingi sana Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
  10. NEXTLEVEL

    Full Time: Singida FC 0 Vs Yanga SC 0, Namfua Stadium

    Mechi na Mtibwa mlijidai hivi ila sote nimashahidi ya nini kilitokea."Ustukane mamba kabla.. ..." tutakuona ukienda Singida
  11. NEXTLEVEL

    Swedish firm moves Sh253bn Malindi power plan to Tanzania

    Sasa wewe huoni itazidi kusaidia kushusha gharama kwetu watumiaji pia kwa miradi hiyo miwili tu tunakuwa na MW 2700 ukijumlisha na tulionao mpaka tutakuwa na MW karibu 4000 kitu ambacho muda huo hata tukiota Tanzania ya Viwanda tutakuwa sahihi zaidi maana bila kuwa na umeme wa uhakika na kutosha...
  12. NEXTLEVEL

    Mayai ya kuku wa kisasa yanahitajika

    Mkuu kuna vitu kadhaa naona kama vimepungua kwenye bandiko: 1 Mawasiliano 2 location 3 Bei ya tray 4 Aina gani ya mayai Vitu hivyo vikiwa wazi vitarahisisha sana zoezi.
  13. NEXTLEVEL

    Asali kwa bei ya kumalizia mzigo

    Zimebaki dumu 30 za lita20,nauza kwa bei ya kumalizia mzigo 105000 kwa dumu moja la lita 20. 0626446244
  14. NEXTLEVEL

    Tujipange: Kutaifishwa mzigo wa almasi Airport ni mwanzo wa vita ya kibiashara kati ya Tz na De-Beers

    Kama ni kwa 4% bora tushonee culture na kuuziana wenyewe kuna faida gani sasa 4% halafu mzigo wote wa budget unabaki kwa kukabana koo ya kodi watanzania wenyewe? Imagine hata tungepata 10% tu kwenye almasi,Dhahabu na Tanzanite budget yetu ingekuwaje? Yaani kampuni za bia na sigara wamekuwa na...
  15. NEXTLEVEL

    Hakuna msaada wowote wa viwanja Makonda ni msanii na mfanyabiashara tu

    Mkuu biashara ushindani hivyo kama hujamuendea RC na kumueleza atajuaje unaeneo na uko tayari kuuza viwanja kwa bei nafuu!? Yeye aote au angepanga bei elekezi hapo silingekuwa tatizo lingine!? Approach zetu kwenye baadhi ya masuala yabidi zibadilike maana unaanzaje kumushutumu mtu wakati...
  16. NEXTLEVEL

    Hakuna msaada wowote wa viwanja Makonda ni msanii na mfanyabiashara tu

    Sasa Kibaha na Kigamboni unalinganishaje bei!!? Cha msingi walengwa wapate maeneo kwa bei iliyotajwa maana huwezi mpangia mtu bei ya kuuza, kwani nini mbaya mtu kuwaombea punguzo kwa muuzaji!!?
  17. NEXTLEVEL

    Biashara ya mchele Morogoro, Shinyanga

    Mimi nina Mpunga na Mahindi ya kutosha Tabora lakini kiukweli bado nausoma upepo wa bei kwanza.
  18. NEXTLEVEL

    Biashara ya mchele Morogoro, Shinyanga

    Shinyanga na Tabora kuna mchele mzuri ingawa wengi wanaamini Mbeya zaidi.
Back
Top Bottom