Mashamba yanapatikana mkoa wa Pwani unaingilia Kongowe upande wa kusho toka Dar.Umbali toka Morogoro road ni km 10 na 12 kwa sababu yako maeneo tofauti.
Bei kukodi kwa heka iko kati ya 50,000 na 100000 kutegemea na eneo na ukaribu wa vyanzo vya maji.
Bei kununua inaanzia laki 9(900,000)...
Tenda zikitolewa kwa wageni malalamiko lukuki basi tukipewa sisi napo shida tupu.
Mungu atusaidie kwakweli tubadilike tunalaumu makocha lakini na sisi wachezaji hatujitumi...
Sasa wewe huoni itazidi kusaidia kushusha gharama kwetu watumiaji pia kwa miradi hiyo miwili tu tunakuwa na MW 2700 ukijumlisha na tulionao mpaka tutakuwa na MW karibu 4000 kitu ambacho muda huo hata tukiota Tanzania ya Viwanda tutakuwa sahihi zaidi maana bila kuwa na umeme wa uhakika na kutosha...
Mkuu kuna vitu kadhaa naona kama vimepungua kwenye bandiko:
1 Mawasiliano
2 location
3 Bei ya tray
4 Aina gani ya mayai
Vitu hivyo vikiwa wazi vitarahisisha sana zoezi.
Kama ni kwa 4% bora tushonee culture na kuuziana wenyewe kuna faida gani sasa 4% halafu mzigo wote wa budget unabaki kwa kukabana koo ya kodi watanzania wenyewe?
Imagine hata tungepata 10% tu kwenye almasi,Dhahabu na Tanzanite budget yetu ingekuwaje?
Yaani kampuni za bia na sigara wamekuwa na...
Mkuu biashara ushindani hivyo kama hujamuendea RC na kumueleza atajuaje unaeneo na uko tayari kuuza viwanja kwa bei nafuu!? Yeye aote au angepanga bei elekezi hapo silingekuwa tatizo lingine!? Approach zetu kwenye baadhi ya masuala yabidi zibadilike maana unaanzaje kumushutumu mtu wakati...
Sasa Kibaha na Kigamboni unalinganishaje bei!!?
Cha msingi walengwa wapate maeneo kwa bei iliyotajwa maana huwezi mpangia mtu bei ya kuuza, kwani nini mbaya mtu kuwaombea punguzo kwa muuzaji!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.