Search results

  1. chuchu2020

    Tanzania na JICA kushirikiana katika kujenga uwezo matumizi bora ya gesi asilia

    TANZANIA NA JICA KUSHIRIKIANA KATIKA KUJENGA UWEZO MATUMIZI BORA YA GESI ASILIA Wizara ya Nishati pamoja Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) wamesaini makubaliano ya kutekeleza mradi wa kujengea uwezo Wataalam wa Wizara na Taasisi zake katika eneo la kuendeleza matumizi bora ya...
  2. chuchu2020

    Miradi ya kimkakati ya nishati kuimarishiwa ulinzi

    MIRADI YA KIMKAKATI YA NISHATI KUIMARISHIWA ULINZI Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa wamekutana kwa ajili ya kupanga mikakati ya kuimarisha ulinzi kwenye miradi ya kimkakati inayosimamiwa na Wizara ya Nishati. Kikao...
  3. chuchu2020

    Mradi wa umeme wa Julius Nyerere wafikia asilimia 80.2

    MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE WAFIKIA ASILIMIA 80.2 Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha umeme wa kiasi cha megawati 2,115 umefikia asilimia 80.2 Naibu Waziri Byabato ameyasema hayo tarehe 17...
  4. chuchu2020

    Shilingi Bilioni 38 kurekebisha hali ya umeme wilayani Urambo

    Shilingi Bilioni 38 kurekebisha hali ya umeme wilayani Urambo Waziri wa Nishati,Mhe. January Makamba ameeleza kuwa, Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 38 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wilayani Urambo Mkoa wa Tabora pamoja na njia ya kusafirisha umeme ya kV 132 kutoka...
Back
Top Bottom