Umepiga fisher boards? Nilikuwa na hili tatizo ila niliamua kupiga Fisher boards likaisha lakini siku ya kupiga Fisher boards fundi alipanda juu kuwafukuza.
Mzee umefukua uzi wa 2013 ha ha ha [emoji23]. "In the having of peace Azania stand at ease, to waken, strengthen, feeds our hungry minds " .....You are known far and wide.....we will never forget you" ....lilikuwa bonge la school anthem.
Hongera sana mkuu. Kwanza zidisha upendo kwa mama yake, jitahidini mtoto anyonye maziwa ya mama yake tu kwa miezi sita ya mwanzo. Hakikisheni anapata chanjo zote kwani ni muhimu sana,analazwa kwenye chandarua ili kumkinga na malaria na msiruhusu abebwe hovyo na kila mtu wengine wana mafua makali...
Pole kiongozi. Tafuta wengine ila huyo mwenye majibu ya hovyo achana naye. Mpende akupendae asiekupenda achana nae....pia udugu si kufanana bali kufaana....
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.