Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.
Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara...
Huu utaratibu wa hizi Parking fee ukoje?
Kwa zaidi ya mara mbili nawekewa karatasi ya kulipia parking fee, na kila nikimuuliza dada muhusika ananiambia nilikuwa maeneo fulani na fulana kwa tarehe hizi na zile wakati hayo maeneo sijawahi kabisa kufika na kipindi hicho gari ilikuwa ndani imepaki...
Nafuatilia taarifa ya Habari UTV Azam.
Jaji wa mahakama ya Afrika anaeleza kwamba leo wametoa hukumu zaidi ya kumi zinazohusu mashauri ya nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.
Hata hivyo jaji anasema, tena kwa unyonge kabisa, kwamba changamoto kubwa ya mahakama hiyo ni nchi wanachama kugomea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.