Wadau salam, samahani nimepigiwa simu na watu wa shirika la posta Tanzania mda huu kwa ajili ya kuhudhuria interview kesho tarehe 18 na baada ya kumaliza kuongea akakata simu. Sasa tatizo nahisi labda kakosea kuniambia tarehe maana kwa hali ya kawaida mtu anaweza pigiwa simu kwa ajili ya...
Jamani naomba mwenye kuijua namba hii 0784105582 anifahamishi kwani nimekuta missed call na najaribu kuipigia naambiwa haipo, kwa hiyo nahofia inaweza kuwa nilikuwa naitwa kwa ajili ya interview mahali
Habari za wakati huu wadau? Samahani kuna jambo limenitatiza naombeni mnisaidia kabla sijaingia mkenge. Kuna ujumbe wa maandishi(sms) nimepokea kutoka kweny no. +255786899116, unaosema +12068553227: YOUR MOBILE NO HAVE WON ($.550,000.00 DOLLARS)COCA-COLA FIFA WORLD CUP...
Hongera wewe kwa kuwa na kazi lakini kumbuka ulipata kazi ukiwa huna kazi mana hamna mtu anayezaliwa na kazi. Kwa hiyo tuache tusubiri mana Mungu ndo anayejua na siyo wewe unayejifanya mtabiri.
Ninauwezo wa kufundisha masomo ya English na Geography na ninauzoefu wa mwaka mmja na miezi minane nikifundisha masomo haya kwa ngazi ya secondary ila profession yangu ni sheria (LL.B) na nipo Arusha. Ninaomba kama naweza pata kazi ya kufundisha masomo haya no. yangu 0754037153.
Sina diploma ya education ila nishawahi kufundisha masomo haya kwa mwaka mja. Elimu yang shahada ya kwanza ya sheria ila napenda sana kufundisha. Nawasilisha kama inafaa.
Samahani wadau wana JF.
Nilisikia kuwa mpaka tarehe 21 mwezi huu uhamiaji wangekuwa ameanza kutoa majina (shortlist) lakini naona kimya au ni mimi tu ndo sijui?
Msaada please.
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.