Nimerudi kuwapatia shukrani nyote mlionitia matumaini,Queenkami ameshanipatia majibu yangu kwa njia ya private message lakini nasikitika kwamba siwezi kuwajulisha ni majibu ya aina gani.Hata hivyo nyote mlioniweka katika maombi naweza tu kuwaambia kwamba Bwana hujibu maombi hivyo asanteni...
jeez im nervous but its normal though lol
natamani aje sometimes natamani asije hasa nikiwaza kuwa anaweza kunitoa nishai lkn ndo ukishazaliwa mwanaume ni kukabiliana na yote.
nina wakakikishieni queenkami wenu akinikubali hawezi kabisa kukutana na baby mama`s drama.Amani na furaha yako ni muhimu kwangu kuliko chochote sababu nina uhakika lazima na yeye atampenda mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.