Search results

  1. M

    ...Uko wapi...

    queenkami. Huyu mtoto ameniteka vibaya.
  2. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    mkuu sidhani kama hilo ni tatizo.
  3. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    Nimerudi kuwapatia shukrani nyote mlionitia matumaini,Queenkami ameshanipatia majibu yangu kwa njia ya private message lakini nasikitika kwamba siwezi kuwajulisha ni majibu ya aina gani.Hata hivyo nyote mlioniweka katika maombi naweza tu kuwaambia kwamba Bwana hujibu maombi hivyo asanteni...
  4. M

    mgeni mwenyeji nimewasili

    Asanteni sana wakuu.Nimeshakaribia.
  5. M

    mgeni mwenyeji nimewasili

    Asante wajina.
  6. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    okay sasa nimekuelewa,noted. hapa ni mwendo wa kujikomba kwa Nyani Ngabu tu,si unajua mtaka cha uvunguni
  7. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    mmhh haya,poa lakini.
  8. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    Gaijin umenikosesha raha ghafla,ila si wako kiutani zaidi au kuna nisilolijua?
  9. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    asante sana sweetlady,tuko pamoja.Mambo yakiwa magumu nitakufuata tufunge wote hizo siku 7.
  10. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    umeona mkuu bht,hii nayo inafanya azidi kunivutia,sio mbaya mtoto wa kike akiwa na mapozi kidogo
  11. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    nimeamini ukitaka dhahabu lazima uhangaike sana.Mwache anisome bana mana na mim nilimsoma sana ndo hadi kufikia huu uamuzi.
  12. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    jeez im nervous but its normal though lol natamani aje sometimes natamani asije hasa nikiwaza kuwa anaweza kunitoa nishai lkn ndo ukishazaliwa mwanaume ni kukabiliana na yote.
  13. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    asante kwa ushauri,utazingatiwa mkuu.
  14. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    nawashukuru sana aisee,ujue ukiwa serious na jambo lazima utumie heshima na uadilifu.Hata hivyo lazima nije kwa heshima sababu nawaheshimu sana mkuu.
  15. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    tuko pamoja,lazima vigelegele tupige bana.
  16. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    sas hapa niongeze nini kiongozi ikiwa ushasema yote,pampja sana.
  17. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    subira yavuta kheri,mvumilivuhula mbivu.Acha nivute subira kaka.
  18. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    nina wakakikishieni queenkami wenu akinikubali hawezi kabisa kukutana na baby mama`s drama.Amani na furaha yako ni muhimu kwangu kuliko chochote sababu nina uhakika lazima na yeye atampenda mtoto.
  19. M

    Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

    sawa sawa kamanda.Nakukubali.
Back
Top Bottom