Kweli kabisa wanaume kuwa na sauti kama ya mwanamke huwa inakosesha raha kabisa nilisoma na kijana mmoja
hata mwalimu akimuuliza swali anaona aibu kujibu lakini mwambie kuandika atawashinda wote
Habari zenu.
Nina rafiki yangu (mfanyakazi mwenzangu) yamemfika yakumfika.
Amenisimulia visa vingi na mambo mengi ambayo nimemwonea huruma.
Ni msichana wa umri wa miaka 25, alikuwa na boyfriend wake chuo akazaa nae na akamkimbia
akalea mtoto peke yake......ni story ndefu ngoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.