Nina imani kubwa sana na viongozi hawa wawili, yaliyotokea ni tofauti za kawaida ndani ya chama. Naiombea CDM iendelee kuwa imara na wahusika warudi kukiimarisha chama. Bila upinzani madhubuti, nchi itayumba
Ni udhaifu wa viongozi wetu kila wanaposhindwa na kuishia kutoa visingizio vya wapinzani! kukosolewa ni sehemu ya maendeleo na kioo cha kupijima wapi umekosea na kujisahihisha.
Kama kuna tofauti kati ya Mwigulu na Mkumbo ingependeza wazimalize kwa manufaa ya Wana Iramba. Kwa hizo tofauti zao, hukumu nzuri itatolewa na wana Iramba siku ya uchaguzi 2015 na sio kwa kutumia polisi. Kwa kuwa wote wako hapa jamvini basi walione hili kuwa wanao athirika ni wananchi wa Iramba...
Tanzania ni Nchi yangu na wala sikuichagua! Napenda niishi maisha marefu ili nione hatma yake pamoja na watu wake hususan wanaofikiri kuwa wataishi milele bila kufa!
Kwa ufahamu wangu mgomo wa Waalim uko siku nyingi, ila nadhani bado tu kutangaza kwa vinywa vyao au maandamano. Tofauti ya mgomo wa Madaktari na Waalim ni immediate impact ya mgomo, Madaktari wakigoma basi wagonjwa hufa ndani ya masaa 24 au baadaye kidogo tu, lakini walimu wakigoma basi impact...
Kifo cha mwanadamu hupangwa na Mungu, kwa kipigo kile dhidi ya Dr. Ulimboka hakustahili kuwa hai kwa mapenzi ya kibinadamu bali ni kwa Mapenzi ya Mungu! Lisilo wezekana kwa binadamu kwa Mungu linawezekana! Ni Mapenzi yake aliyejuu na ndiye anaye jua hatma ya Dr. Ulimboka pamoja na hao watesaji...
Nina imani huyu siye Nnape halisi kwa sababu yeye si kawaida yake kujibu papo kwa papo na hata akitoa hoja huijia baadaye sana na kwa majibu yasiyo mpasho. Huko siku za nyuma niliwahi kumshauri yule Bw kipendekezi ajaribu kuiga mfanowe.
Kimalando, jaribu kurekebisha kumb zako. Benedict Mtungirehi alijiunga na UDSM ktk mwaka wa masomo 1992/93. Alipokuwa second year 1993/94 ndipo alipochaguliwa kuwa DARUSO president.
JK never fails in negotiation and this was expected, if you don't agree with this, ask Kenyans. They know him very well. We've lost our fellow Tz lives unnecessarilly for things that would have been solved soft on the table.
Hakuna upande wowote unaofaidika na huu mgomo; si serikali si Madaktari wala sisi tunaochangia hapa. Sidhani ktk Nchi yenye demokrasia ndani ya 50 yrs ya uhuru ishindikane kupata muafaka, hata ifikie kupoteza uhai wa wenzetu. Kwa ambaye hajaathirika na huu mgomo ni raisi sana kuchochea na kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.