katika jamii nyingi msichana anapokutwa na bikira hueshimiwa sana pia kwa upande mwingine niulize swali kama ukimkuta msichana na bikira na ukaiondoa yaani ukamubikiri kabla ya ndoa anaweza kukushawishi uwe nae daima? vipi upande wake atapenda uwe nae?
JK bwaa ni kiongozi wa ajabu sana nahisi ndiyo Raisi mubovu Afirika Mashariki na Kati kama kuna atabisha alete ushahidi hapa jf,yaani akipata mualiko anahisi kuchanganyikiwa jamani watz hebu kusikubali hili,emergency ya madr kwake si kitu,bravo madr
Jamani hii nchi ni balaa madakitari hoi JK anakula mitaa nje,kwani hapa duniani kuna nchi mia ngapi,maana naona kam kazimaliza nashauri ajaribu kwenda na mwezini labda kuna jipya huko,pongezi Marekani kwa kumpiga stop kwa muda,kuja huko kwenu kula raha na wasanii.
Jamani hii nchi ni balaa madakitari hoi JK anakula mitaa nje,kwani hapa duniani kuna nchi mia ngapi,maana naona kam kazimaliza nashauri ajaribu kwenda na mwezini labda kuna jipya huko,pongezi Marekani kwa kumpiga stop kwa muda,kuja huko kwenu kula raha na wasanii.
Ni hatua nzuri katika usawa kati ya tabaka tawala na tawaliwa,kibaki vipi kuhusu Uhuru na Ruto kwa mjibu wa ibara ya 60 ya katiba mpya ulipaswa kuwasimamisha kwa kuwa wameshusha hadhi ya ofisi zao,acha uoga Mh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.