Habari Ndugu zangu? Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nianze kwa nukuu ifutayo.
"HAKI HAIPASWI TU KUTENDEKA BALI YAPASWA KUONEKANA IMETENDEKA"
Kwa sasa wengi wetu tumejawa na tashwishi,
Hatujui iliyo ya HAKI Wala iliyo ya HALAM
Nafsi zetu zimeinama, tukiponzwa na...
Habari wadau,
Nahitaji kuku wa nyama tani 2.5. Hata kama una kuku ambao bado hawajawa processed ila wanaweza kutoa tani hizo tajwa hapo Juu Basii njoo tuifanye biashara
Serious seller Dm me your contact tuifanye biashara.
Ahsante.
DOING BUSINESS IN AFRICA & THE DEVELOPMENT OF AFRICA
I run a manufacturing business and a trading business.
The biggest challenge in my manufacturing business is not power, or infrastructure, the biggest challenge is getting honest staff.
Everyone we hire appears to be on a mission to steal...
Habari wadau!?
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo juu.
Natafuta Mashine ya kukamulia Juice iwe ya motor ya Umeme au ya ingine ya Mafuta
Iwe mpya au Used ila tu iwe kwenye hali nzuri katika kufanya kazi
Natanguliza shukrani na karibuni tufanye biashara
Habari za jumapili wadau!?
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza naomba msaada wenu ili niweze kuondoa hilo tatizo la PARSE ERROR ili nifanikiwe ku -install Apps mbali mbali
Kama vile Mobdro, UKTVNOW etc.
Aina ya Tablet ni :HUAWEI
Model number: MEDIA PAD 10 FHD
Android Version : 4.04...
_Fatma Karume vs Eugene_
KUSHINDWA KWA HII KESI.
*Eti one billion Mahakama sio uchochoro wa kujipatia pesa*
Askari yeyote anachukuliwa hatua kwa namna tatu.(1) Malalamiko ya ndani(2) Mashtaka ya jinai (3) Shauri la madai. Karume amechukua la tatu, shauri la madai.
1.MALALAMIKO YA NDANI...
Habari wanajamvi?
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa bwana mtume Muhammad (S.a.W) (Happy Maulidi Day)
Salam hizi zikufikie ndugu yangu katika imani ndugu Shehk Haji Issa Ponda.
Nakuomba sana kwa sasa ni vema ukajibainisha kama unachokipigania ni dini ama siasa ili usije ukayumbisha kondoo wako...
Kwa mda mrefu kumekuwa na dharau na kejeli zisizo mithilika kwa wanasheria wa serikali kuhusu uwezo wao.
Kwa upande mwingine kumekuwa zikitolewa sifa zilizopitiliza kwa mawakili na hasa hawa mawakili wa CHADEMA kama wao ni wajuvi sana wa maswala ya sheria
Sasa kwenye hili sakata la Lema...
*UKIFA MASKINI HILO NI #KOSA LAKO.*
Je umeshaandika #malengo yako ya 2017 tayari?
Au unasubiri tu kusema "HAPPY NEW YEAR"??
Kuishi bila malengo ni sawa na kutembea gizani unakuwa unabahatisha tu. Watu waliofanikiwa huwa na malengo ya miaka hata #mitano mbele na zaidi. Wasiofanikiwa hata...
Habari wadau?
Bila kupoteza mda nijielekeze kwenye mada.
Leo nimeona nimuulize swali Ndugu yangu Ben saanane ambaye kiasili ni mkazi wa Rombo.
Wakazi wa wilaya ya Rombo pamoja na changamoto na matizo mtambuka yanayowakabili yaani kama vile umasikini wa kipato,Afya Elimu na mengineyo, ambayo...
habari wadau!
Wala nisiwachoshe acha niende kwenye mada moja kwa moja.
Wote mnakumbuka kituko alichokifanya Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Godbless Lema.
Akihutubia mkutano wake wa hadhara katika kata ya sombetini pamoja na vituko vingine,.Ndugu lema alitoa kauli kwa Rais ambayo sidhani kama...
Habari wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada. Jana October 19,2016 Balaza la Vijana la chama cha CHADEMA(BAVICHA) wametoa tamko kupitia Mwenyekiti wake Bw. Patrobas katambi dhima kuu la tamko lao ni kuitaka Serikali itoe tamko juu ya kizungumkuti cha mikopo kwa wanafunzi wanaotarajiwa...
Habari wakuu! Poleni na majukumu ya kila siku yakuhakikisha watoto wetu wanapishana kwenda njia ya chooni.
Nirudi kwenye mada;
Mtakumbuka tangu CHADEMA kutangaza vuguvugu la UKUTA chama cha ACT wazalendo kimepotea kabisa kwenye media,ndio kusema hawana ajenda (iwe mbaya au nzuri) ya kuvivutia...
Kaimu Mkt CUF Taifa, Katibu Mkuu, NKM (B),Mhe. Juma Duni!
YAH: SIKU MOJA YA MAAMUZI.
Kwa hesabu za haraka chama chetu kina siku ya leo tu kujihakikishia usalama Tanzania Bara au kujimaliza kimyakimya.Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa viongozi wa juu wa CHADEMA ni kwamba wenzetu...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa leo Tarehe 4/9/2016
MWENYEKITI WA CCM, RAIS JOHN MAGUFULI AACHE KUTUMIA MAMLAKA YAKE VIBAYA AHESHIMU MISINGI YA HAKI,
DEMOKRASIA, KATIBA NA SHERIA ZA NCHI YETU
Waheshimiwa wanahabari,
Awali napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru kwa kuitikia wito...
Habari wanajamvi?
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza, siku zote tumeaminishwa kuwa umiliki wa gazeti la Tanzania Daima ni la CHADEMA kwani hata pesa iliyotumika kulianzisha gazeti hilo ilitoka kwa chama rafiki cha Conservative cha nchini Ujerumani.
Sasa leo kwenye hili sakata la NHC...
Habari wanajamvi?
Kama kichwa cha nyuzi kinavyojieleza hapo,
Hawa watu wawili yaani S.Jecha na J.Mtatiro Licha ya utofauti wa kibiolojia ya Ubinadamu wao na kazi zao wanazozifanya, Hawa wawili wana ufanano unaokaribiana sana
Ndio kusema kihurka, hawa watu wawili unaweza sema ni watoto wa baba...
Habari wadau, wala nisiwachoshe rejeeni kichwa habari hapo juu, nawatahadharisha zile
Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa,
Mambo yenu ya ushirikina na utapeli na wizi wa vifaa vyetu vya magari,
Sijui tabia zenu za kufanya birthday...
Wakuu wanajamvi, heshima nyingi kwenu.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,
Ninashida ya kupata leseni ya kuanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza chakula cha kuku na machinjio yake
(Poultry Abattoir). Kwa yeyote anayefahamu.
Naomba maelezo ya mchakato na mahali pakuipata leseni hiyo.
Karibuni.
Habarini,wadau,
Poleni na majukumu ya kila siku ya kujitafutia riziki na nimatumaini yangu kadiri jua linavyozama basi tumepata angalau kidogo cha kurudisha nyumbani kwa ajili ya wapendwa na familia zetu.
Utangulizi:
Natambua uwepo wa nyuzi mbali mbali hapa jukwaani tena zikiwa na maudhui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.