Nina rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili. Tatizo mke wake anamdharau sana hamsikilizi kwa lolote lile. Wakati mmewake anawatunza yeye pamoja na ndugu zake. Ukiangalia kaka huyu hana ndugu kwani wazazi wake walifariki toka akiwa na umri mdogo akalelewa na watu baki na si ndugu zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.