MAMA ni Shujaa kwani Wanaume waliomtangulia Walishindwa yupo mmoja alianzisha mchakato lakini wakina Wassira Wakampotosha yupo mwingine yeye ndio Hakuitaka kabisa KATIBA MPYA
HUYU MZEE NI MHAFIDHINA ni miongoni mwa Wazee WASIOTAKA MABADILIKO na huyu alihusika sana kuharibu RASIMU ya WARIOBA MLE BUNGENI ni bora AKAKAA PEMBENI
Wadau nawasalimu,
Hebu jifunze kupitia hiki KIBONZO na huu ndio UKWELI wa Maisha ya Mwanasiasa na Familia yake na Maisha ya Mpiga kura wa huyo MWANASIASA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.