Usikimbie njoo huku,
Ninavyojua Serikali ya Bongo land hawajafanya juhudi zozote zile za kuzuia mimba mashuleni.
Sasa Kama mnajua kuwa kwa mwaka zaidi ya mabinti 6500 wanapata ujauzito shuleni, je hao wanaume 6500 mnawafunga wote? Jibu na Hilo usikimbie.
Kama kweli mnafuatilia.
Mkuu hayo maneno yake , Mimi nimemwambia yeye atakuwa Ni mwakilishi wa Lucifer, kwa yeye anamahanisha kuwa watu wazaliane hovyo tuu bila kufuata taratibu.
Mkuu ngoja nikuulize swali hili.
Kama binti akimpenda kijana yeye mwenyewe na kumtafuta yule kijana na kufanikiwa kuingia kwenye mahusiano, lakini binti alimdanganya kijana kuhusu umri na pia alimdanganya kuwa yeye SI mwanafunzi, lakini binti akapata ujauzito,
Vipi kuhusu mahakamani uwamuzi wao...
Kuna maneo flani hivi mleta madam kayaandika ,
Anasema mimba sijui niukamilifu wa kizazi Cha mwanamke , sijui mimba Ni Kama Nini , sijui Ni Nini na Nini.
Nimemuambia kea maneno yako hayo ukisema kwa wanafunzi wewe Ni MTUMISHI AU MWAKILISHI WA LUCIFER.
Ukishazaa umepoteza sifa za kuitwa binti Sasa mleta mda sijamuelewa.
Japo naunga mkono kuhusu kurudi shuleni ,
Ila wanachoniuzi mimi wanadili na matokeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.